Pesa ambazo zilikuwa zimetengwa kwa ajili ya kutoa ajira mpya serikali ndio ambazo zimetumiwa kununua ndege mbili aina ya Bombardier na ndege zingine zimekwisha kuagizwa. Aidha pesa zingine zimeelekezwa katika ujenzi wa uwanja wa ndege wa kisasa kule Chato. Tanzania ya Viwanda inakuja!!!.
Anatumia nguvu kubwa sana kupambana na mambo madogo. Badala ya kutatua matatizo yetu na yeye amekuwa anatulalamikia sijui wananchi tufanyeje. Mara kadhaa kauli zake zimekuwa nizakujutia Urais.Alifikiri Urais ni kazi ndogo? Na anavyojifanya kubana hivi yaani kila kitu anabana tu atachoka sana...
Tokea aingie madarakani Rais wetu Dkt John Pombe Magufuli amekua anaongea tu majukwaani tu suala la ajira kwamba atatoa ajira lakini hakuna hata dalili zozote zile. Suala la Ajira katika awamu hii linazungumzwa tu kinadharia nasio kwa vitendo.
Ajira ni jipu linaloisumbua serikali ya awamu ya...
Mpaka sasa kimya tu ni kama serikali imefuta ajira kimyakimya. Katika majukwaa wanatangaza wataongeza na kutengeneza ajira lakini katika vitendo ni zero.Namna majibu ambavyo yamekuwa yanatolewa na serikali kuhusu ajira utagundua mwenyewe katika serikali hii ajira na kuboresha maslahi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.