Mwaka huu ajira hakuna, serikali inabana matumizi, katika awamu hii yatano ajira sio kipaumbele

Mar 5, 2016
39
62
Mpaka sasa kimya tu ni kama serikali imefuta ajira kimyakimya. Katika majukwaa wanatangaza wataongeza na kutengeneza ajira lakini katika vitendo ni zero.Namna majibu ambavyo yamekuwa yanatolewa na serikali kuhusu ajira utagundua mwenyewe katika serikali hii ajira na kuboresha maslahi ya watumishi wa umma sio kipaumbele kabsa ,

kipaumbele ni kushughulikia watumishi hewa ndio maana kila kitu ambacho serikali imeshindwa kufanya kisingizio kikubwa ni watumishi hewa tu.Vijana wanaomaliza vyuo hawana matumaini ya kupata ajira serikalini maana serikali ya awamu hii hiichukulii suala la ajira kama ni tatizo kubwa,Ikifika kipindi cha uchaguzi utasikia ahadi kibao kwa vijana kuhusu kupewa ajira..

Vijana wamekuwa wanatumika kama mitaji ya wanasiasa kujipatia kura kipindi cha uchaguzi tu, Wanasiasa wakishapita hata hawakumbuki kuwapatia ajira vijana hao.. Huku unasema Vijana wachape kazi huku hutaki kuwapatia mitaji na wengine kuwapa ajira.. Hii ndio serikali ya awamu ya tano,, ajira kwa vijana sio kipaumbele.. Kipaumbele ni kujenga fly over, mabarabara, viwanja vya ndege, kununua ndege, kutimua wafanyakazi na kushughulikia watumishi hewa tu.
 
Mpaka sasa kimya tu ni kama serikali imefuta ajira kimyakimya.Katika majukwaa wanatangaza wataongeza na kutengeneza ajira lakini katika vitendo ni zero.Namna majibu ambavyo yamekuwa yanatolewa na serikali kuhusu ajira utagundua mwenyewe katika serikali hii ajira na kuboresha maslahi ya watumishi wa umma sio kipaumbele kabsa , kipaumbele ni kushughulikia watumishi hewa ndio maana kila kitu ambacho serikali imeshindwa kufanya kisingizio kikubwa ni watumishi hewa tu.Vijana wanaomaliza vyuo hawana matumaini ya kupata ajira serikalini maana serikali ya awamu hii hiichukulii suala la ajira kama ni tatizo kubwa,Ikifika kipindi cha uchaguzi utasikia ahadi kibao kwa vijana kuhusu kupewa ajira.. Vijana wamekuwa wanatumika kama mitaji ya wanasiasa kujipatia kura kipindi cha uchaguzi tu, Wanasiasa wakishapita hata hawakumbuki kuwapatia ajira vijana hao.. Huku unasema Vijana wachape kazi huku hutaki kuwapatia mitaji na wengine kuwapa ajira.. Hii ndio serikali ya awamu ya tano,, ajira kwa vijana sio kipaumbele.. Kipaumbele ni kujenga fly over, mabarabara, viwanja vya ndege, kununua ndege, kutimua wafanyakazi na kushughulikia watumishi hewa tu.
Umesahau ya mwisho ni mkakati wa kutumia vyombo vya ulinz kupambana na ukuta
 
kiukweli hali ni mbaya aisee viongozi waliostafuu ndio wanaopewa ajila huku vijana tukiendelea kusota
 
Mm mwl wa special education Tena degree nadhani sasa Na mm nishakuwa special huku kitaa muda sio mrefu naweza pata cognitive disability
 
Kadegree kangu ka Ualimu awamu hii hakuna Tija mbaka niwe na Dr. Duu sijui nifanyeje maana hata wenye dhamana hawajui lini Ajira zitatangazwa
 
hali si hali.. wenye mamlaka hata kuongea hawataki.
Kama ajira hakuna watuambie tu tukabangaize hata kwa wahindi huko..
Maana hata kujiajiri ni changamoto mitaji hatuna..
 
Na kila uchao kujigamba mbele ya media kua wamekusanya kodi ya trilion 1kwa mwezi

WATANZANIA HATUWI MAKINI KUFANYA ANALYSIS..UKWELI MAPATO YA 1.1 TIRRION KWA MWEZI NI MADOGO SANA. KWANI KATI YA HIYO 1.1T..MISHAHARA NI 600 BILLION UNABAKIZA 500 BILLION. MADENI YA SERIKALI YALIOIVA YANAYOTAKIWA KULIPWA NI 8TIRRION AMBAYO WASTANI NI 650 BILLION KWA MWEZI..MAANA YAKE NIKUWA MISHAHRA YA SASA NA DENI LA SERIKALI LINALOTAKIWA KULIPWA NI 1.250 TIRRION KWA MWEZI..SASA HAPO HUJAWEKA MATUMIZI YA KWAIDA TU YA KULIPIA UMEME,USAFI PERDIEMS NK. UKWELI KWA UCHUMI WETU HALI BADO MBAYA SANA. NA HALI INAKUWA MBAYA KWA SABABU YA MADENI NDO MAANA HATA MH RAIS INAMUSUMBUA.SOMENI BUDGET MUONE MAPATO YA NDANI NA ULINGANISHE NA MATUMIZI UONE..
 
Back
Top Bottom