Ajira za walimu: Tuache siasa kwenye taaluma

Ajira za walimu: Tuache siasa kwenye taaluma

prucho

Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
39
Reaction score
94
TUACHE SIASA KWENYE TAALUMA

Nimepokea kwa masikitiko makubwa majibu aliyoyatoa leo bungeni naibu waziri anayehusika na TAMISEMI ndugu JAFFO,kwa ujasiri mkubwa mheshimiwa JAFO aliyesimama February wakati wa bunge na kudai serikali imejiandaa kutoa ajira 71,000 zikiwemo za walimu 40,000 leo ameibuka na kihoja kingine ambacho kwa wanataaluma haswa walimu inatakiwa kuungana kwa pamoja kupinga huu ugumashi kwenye sekta ya elimu.

Tumetoka kuwaondoa vijana waliokuwa wakisoma special program pale UDOM kwa kile kilichoitwa walimu vilaza na kwa pamoja tukaona ni mwendelezo mzuri wa serikali yetu ya awamu ya tano kuendeleza sekta hii ya elimu licha ya mbinu iliyobuniwa na Rais wa awamu ya nne na serikali yake.

Sijajua kama mawazo na majibu ya JAFFO niyaserikali au mawazo yake binafsi ,kama ni ya serikali KWA HERI NYERERE KWA HERI ELIMU kama ni ya JAFFO anapaswa kuhakikiwa cheti chake cha elimu kuanzia ngazi ya msingi mpaka chuo kikuu, hatuwezi kuwa na mawaziri wanaoshindwa kutambua kua UALIMU NI TAALUMA INAYOSOMEWA KWA MUDA HUSIKA.

Unapata wapi ujasiri wa kutamka mbele ya halaiki ya watanzania kuwa uwachukue watu waliosoma sayansi na kuwapiga brush ya wiki mbili wakawe walimu na bado ukashangiliwa lazima waziri ajue kuwa kunatofauti kubwa kati ya uelewa na ufundishaji.

Kwanini wanasiasa mnaidharau taaluma ya elimu, kwanini mnataka kuendelea kulitengeneza taifa la watoto wenu( wenye nacho) waendele kutawala watoto wetu (tusionacho). Kipindi masomo ya sayansi mnayafanya kuwa ya lazima mnaleta walimu wa mwendokasi wa sayansi hivi JAFFO ni kweli haujui ualimu ni Taaluma? Ualimu si siasa ambayo mtu yeyote anawezakujaribu. Wiki mbili zinatosha kumfanya mtu awe mwalimu?

Hivi unafikiri kushika chaki ndo kujua kufundisha? Sasa ni wakati wa kugeukia vyeti vya wanasiasa ili kupima uelewa wao kitaaluma lasivyo tunakolipeleka taifa ni kwenye giza tororo………taifa lenye walimu -magumashi kama anaowataka Jaffo aliwezi likapiga hatua na kuifikia Tanzania ya viwanda.

Taifa litaendelea kushuhudia ustawi washule binafsi na kufa kwa shule za jamii huku watoto wa matajiri na mawaziri wakisoma kwenye shule binafsi na watoto wa wasionacho wakiendelea kufundishwa na walimu wa sayansi wa mwendokasi.

Jambo lingine ambalo serikali inapaswa kulitambua ni kutofikiria walimu wa sanaa ni wajinga sana , 1958 mwalimu nyerere alijiuzulu ualimu pale BUGU akiwa anafundisha masomo ya sanaa, maraisi wote waliofuata walikuwa ni wanasanaa(waalimu wa sanaa)kasoro wa awamu hii ya tano, na mawaziri wengi ni wanasanaa tunatoa wapi ujasiri wa kuwadhalilisha hawa walimu wa masomo ya sanaa wenye shahada ambao wangeamua kusomea ualimu wa cheti tayari wangekua kwenye system toka 2012 na kama ni diploma tangu 2015 wangekuwa kwenye system.

Tulitake sasa bunge linaloendelea Dodoma kuitaka serikali itokekauli yake kama ajira zitafunguliwa ama la! Ili vijana wengi wakitanzania tuliokuwa tukizisubiri tujue moja kwamba azipo au zipo ili tuangalie mambo mengine ya kufanya tusikae kusibiri jambo ambalo bado lipo kwenye michakato ambayo mimi niliamini imekufa na serikali ya awamu ya nne. AMA KWELI ALIYESHIBA HAMKUMBUKI MWENYE NJAA.

Na Mwalimu asiye na Ajira

Rucho.

0756231744.
 
Umeambia kama umesoma art kaa pemben usikwamishe TZ - viwanda
Nyie walimu wa art mmejaa pomoni mm ngoja niandae kuwa mwalm wa sayans wa mwendokasi

Binti Forogo
(Kwa sasa Kayanga)
 
rudia tena andiko lako mwalimu makosa ni mengi ya kiuandishi
 
hakuna hela, kwa sasa tunapata mahitaji ya msingi kwa hisani ya wafanyabiashara nao hawawezi kuchangia mishahara.
 
Ivi hakuna ethics kwa waalimu?haaaa haaa ngoja wapelekwe hao wanasayansi bila maadili wakawatie mimba binti zetu na kufundisha kuvaa milegezo duh naona elimu inaenda kuporomoka kwa kasi maana waalimu wenyewe tu ishakua mbombo ngafu sasa wajaze na ambao sio taaluma yao hakika jahazi lina tundu kubwa hatuwezi kupona.
 
Unajua mi sijakupata vyema,Jaffo kasemaje? Maana andiko lako kwa kiasi kikubwa malalamiko hebu weka sawa kuwa Jaffo kasema hiki na kile
 
TUACHE SIASA KWENYE TAALUMA

Nimepokea kwa masikitiko makubwa majibu aliyoyatoa leo bungeni naibu waziri anayehusika na TAMISEMI ndugu JAFFO,kwa ujasiri mkubwa mheshimiwa JAFO aliyesimama February wakati wa bunge na kudai serikali imejiandaa kutoa ajira 71,000 zikiwemo za walimu 40,000 leo ameibuka na kihoja kingine ambacho kwa wanataaluma haswa walimu inatakiwa kuungana kwa pamoja kupinga huu ugumashi kwenye sekta ya elimu.

Tumetoka kuwaondoa vijana waliokuwa wakisoma special program pale UDOM kwa kile kilichoitwa walimu ****** na kwa pamoja tukaona ni mwendelezo mzuri wa serikali yetu ya awamu ya tano kuendeleza sekta hii ya elimu licha ya mbinu iliyobuniwa na Rais wa awamu ya nne na serikali yake.

Sijajua kama mawazo na majibu ya JAFFO niyaserikali au mawazo yake binafsi ,kama ni ya serikali KWA HERI NYERERE KWA HERI ELIMU kama ni ya JAFFO anapaswa kuhakikiwa cheti chake cha elimu kuanzia ngazi ya msingi mpaka chuo kikuu, hatuwezi kuwa na mawaziri wanaoshindwa kutambua kua UALIMU NI TAALUMA INAYOSOMEWA KWA MUDA HUSIKA.

Unapata wapi ujasiri wa kutamka mbele ya halaiki ya watanzania kuwa uwachukue watu waliosoma sayansi na kuwapiga brush ya wiki mbili wakawe walimu na bado ukashangiliwa lazima waziri ajue kuwa kunatofauti kubwa kati ya uelewa na ufundishaji.

Kwanini wanasiasa mnaidharau taaluma ya elimu, kwanini mnataka kuendelea kulitengeneza taifa la watoto wenu( wenye nacho) waendele kutawala watoto wetu (tusionacho). Kipindi masomo ya sayansi mnayafanya kuwa ya lazima mnaleta walimu wa mwendokasi wa sayansi hivi JAFFO ni kweli haujui ualimu ni Taaluma? Ualimu si siasa ambayo mtu yeyote anawezakujaribu. Wiki mbili zinatosha kumfanya mtu awe mwalimu?

Hivi unafikiri kushika chaki ndo kujua kufundisha? Sasa ni wakati wa kugeukia vyeti vya wanasiasa ili kupima uelewa wao kitaaluma lasivyo tunakolipeleka taifa ni kwenye giza tororo………taifa lenye walimu -magumashi kama anaowataka Jaffo aliwezi likapiga hatua na kuifikia Tanzania ya viwanda.

Taifa litaendelea kushuhudia ustawi washule binafsi na kufa kwa shule za jamii huku watoto wa matajiri na mawaziri wakisoma kwenye shule binafsi na watoto wa wasionacho wakiendelea kufundishwa na walimu wa sayansi wa mwendokasi.

Jambo lingine ambalo serikali inapaswa kulitambua ni kutofikiria walimu wa sanaa ni wajinga sana , 1958 mwalimu nyerere alijiuzulu ualimu pale PUGU akiwa anafundisha masomo ya sanaa, maraisi wote waliofuata walikuwa ni wanasanaa(waalimu wa sanaa)kasoro wa awamu hii ya tano, na mawaziri wengi ni wanasanaa tunatoa wapi ujasiri wa kuwadhalilisha hawa walimu wa masomo ya sanaa wenye shahada ambao wangeamua kusomea ualimu wa cheti tayari wangekua kwenye system toka 2012 na kama ni diploma tangu 2015 wangekuwa kwenye system.

Tulitake sasa bunge linaloendelea Dodoma kuitaka serikali itokekauli yake kama ajira zitafunguliwa ama la! Ili vijana wengi wakitanzania tuliokuwa tukizisubiri tujue moja kwamba azipo au zipo ili tuangalie mambo mengine ya kufanya tusikae kusibiri jambo ambalo bado lipo kwenye michakato ambayo mimi niliamini imekufa na serikali ya awamu ya nne. AMA KWELI ALIYESHIBA HAMKUMBUKI MWENYE NJAA.

Na Mwalimu asiye na Ajira

Rucho.

0756231744.

Hakika ALIYESHIBA HAMKUMBUKI MWENYE NJAA,,,,,,,
 
Hapa kuna bomu kubwa sana la ujinga kwa watoto linapikwa,,,,na siku likija kulipuka sina hakika ni nani atapona kwa kizazi hiki,,,,,,,,hii yote ni kwa sababu ya kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi sana kwa ustawi wa jamii ya mtanzania......

Kwa mfano, una introduce elimu bure kwa watoto,,,,,namba ya watoto inaongezeka unakuta darasa moja watoto 500 form one hiyo,, ambapo walimu waliopo hawatoshelezi mahitaji ya watoto hawa, wakati huohuo unagoma kuajiri vijana ambao walijitoa kwa moyo wote kupata elimu na ujuzi kwa miaka mitatu chuoni,,,,,,hivi unategemea nini kutoka kwa watoto hawa ambao wanaihitaji sana nguvu kazi ya hawa walimu tarajali.........kifuatacho hapa ni ANGUKO KUU LA ELIMU YA TANZANIA....
Anyway....time will tell,,,,,,,nakumbuka wahenga walisema kuwa ,,,,, mzaha mzaha hutumbua usaha pia Majuto ni mjukuu....
Tujiandae kulipa gharama kwa huu mchezo wa kuingiza siasa kwa mambo ya msingi sana kwa msitakabali wa maisha.
 
Wameua programu ya kuandaa walimu wa Sayansi pale UDOM, halafu badala yake wanataka kuchukua watu wasio na profession ya ualimu kuwa walimu badala yake.

Kusema kweli, kwa kuanzisha programu maalum ya Diploma ya Ualimu pale UDOM sasa naamini JK alikuwa na vision ya mbali.
 
TUACHE SIASA KWENYE TAALUMA

Nimepokea kwa masikitiko makubwa majibu aliyoyatoa leo bungeni naibu waziri anayehusika na TAMISEMI ndugu JAFFO,kwa ujasiri mkubwa mheshimiwa JAFO aliyesimama February wakati wa bunge na kudai serikali imejiandaa kutoa ajira 71,000 zikiwemo za walimu 40,000 leo ameibuka na kihoja kingine ambacho kwa wanataaluma haswa walimu inatakiwa kuungana kwa pamoja kupinga huu ugumashi kwenye sekta ya elimu.

Tumetoka kuwaondoa vijana waliokuwa wakisoma special program pale UDOM kwa kile kilichoitwa walimu ****** na kwa pamoja tukaona ni mwendelezo mzuri wa serikali yetu ya awamu ya tano kuendeleza sekta hii ya elimu licha ya mbinu iliyobuniwa na Rais wa awamu ya nne na serikali yake.

Sijajua kama mawazo na majibu ya JAFFO niyaserikali au mawazo yake binafsi ,kama ni ya serikali KWA HERI NYERERE KWA HERI ELIMU kama ni ya JAFFO anapaswa kuhakikiwa cheti chake cha elimu kuanzia ngazi ya msingi mpaka chuo kikuu, hatuwezi kuwa na mawaziri wanaoshindwa kutambua kua UALIMU NI TAALUMA INAYOSOMEWA KWA MUDA HUSIKA.

Unapata wapi ujasiri wa kutamka mbele ya halaiki ya watanzania kuwa uwachukue watu waliosoma sayansi na kuwapiga brush ya wiki mbili wakawe walimu na bado ukashangiliwa lazima waziri ajue kuwa kunatofauti kubwa kati ya uelewa na ufundishaji.

Kwanini wanasiasa mnaidharau taaluma ya elimu, kwanini mnataka kuendelea kulitengeneza taifa la watoto wenu( wenye nacho) waendele kutawala watoto wetu (tusionacho). Kipindi masomo ya sayansi mnayafanya kuwa ya lazima mnaleta walimu wa mwendokasi wa sayansi hivi JAFFO ni kweli haujui ualimu ni Taaluma? Ualimu si siasa ambayo mtu yeyote anawezakujaribu. Wiki mbili zinatosha kumfanya mtu awe mwalimu?

Hivi unafikiri kushika chaki ndo kujua kufundisha? Sasa ni wakati wa kugeukia vyeti vya wanasiasa ili kupima uelewa wao kitaaluma lasivyo tunakolipeleka taifa ni kwenye giza tororo………taifa lenye walimu -magumashi kama anaowataka Jaffo aliwezi likapiga hatua na kuifikia Tanzania ya viwanda.

Taifa litaendelea kushuhudia ustawi washule binafsi na kufa kwa shule za jamii huku watoto wa matajiri na mawaziri wakisoma kwenye shule binafsi na watoto wa wasionacho wakiendelea kufundishwa na walimu wa sayansi wa mwendokasi.

Jambo lingine ambalo serikali inapaswa kulitambua ni kutofikiria walimu wa sanaa ni wajinga sana , 1958 mwalimu nyerere alijiuzulu ualimu pale BUGU akiwa anafundisha masomo ya sanaa, maraisi wote waliofuata walikuwa ni wanasanaa(waalimu wa sanaa)kasoro wa awamu hii ya tano, na mawaziri wengi ni wanasanaa tunatoa wapi ujasiri wa kuwadhalilisha hawa walimu wa masomo ya sanaa wenye shahada ambao wangeamua kusomea ualimu wa cheti tayari wangekua kwenye system toka 2012 na kama ni diploma tangu 2015 wangekuwa kwenye system.

Tulitake sasa bunge linaloendelea Dodoma kuitaka serikali itokekauli yake kama ajira zitafunguliwa ama la! Ili vijana wengi wakitanzania tuliokuwa tukizisubiri tujue moja kwamba azipo au zipo ili tuangalie mambo mengine ya kufanya tusikae kusibiri jambo ambalo bado lipo kwenye michakato ambayo mimi niliamini imekufa na serikali ya awamu ya nne. AMA KWELI ALIYESHIBA HAMKUMBUKI MWENYE NJAA.

Na Mwalimu asiye na Ajira

Rucho.

0756231744.
Endelea na shughuli zingine, muda wa sanaa na wasanii umekwisha!Tunaelekea kwenye viwanda sanaa haina msaada kwa sasa!Ushauri wangu ni kuungana na wewe uliposema "wangeamua kusomea cheti" waalimu hawa wapelekwe kufundisha primary, nadhani wapo wanaoimudu jiografia ingawa hofu yangu ni swanglish!!!
 
Watu mnaoleta mada kama hizi... Mngekua mkikubali kwamba tasnia hii ya ualim iko regarded as failures. Tungekua na same grounds za ku argue.
 
Back
Top Bottom