Recent content by MTEGHANYI

  1. M

    Mwakyembe ingilia kati ahadi za wachezaji wa yanga iwe fundisho kwa wengine kuropoka

    Walioahidi walijua wazi Yanga wanakwenda kufungwa ndio kisa cha kuahidi pesa nyingi. Je pesa ilishaingizwa kwenye hiyo akaunti ya yanga tusema ni shida ya uongozi wa Yanga au GS M walikurupuka
  2. M

    Hivi ni nani aliyewadanganyeni kuwa ukimuhamisha ' Taahira ' toka Muhimbili Dar es Salaam ataenda ' Kuponea ' Bugando Mwanza?

    Muhimbili kawaida wanatoa dose kubwa kwa sababu hospitali na nzuri ya kimataifa ndio maana tukaomba tukatibiwe Bugando yenye dose ndogo na kweli matokeo tumeyaona
  3. M

    TANZIA: Isaac Muyenjwa Nyagabona Gamba afariki dunia

    Hadi umauti unamkuta alikuwa DW Idhaa ya kiswahili Ujerumani. Mzee wa kimanzichana ni al marhuum siku nyingi mara ya mwisho alikuwa Radio Abood ya Morogoro
  4. M

    Ofa anayetaka shillingi 10000 anione PM

    Kutoa ni imani ya mtu, Moyo ni kitu kingine kabisa
  5. M

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Dhambi moja tu ya kukashifu roho mtakatifu ndio haisameheki, lkn dhambi zote ukijutia na kuomba msamaha kwa dhati Mungu anakusamehe. Tubu na uombe msamaha na usirudie tena
  6. M

    Hali ya huduma za kijamii jimboni Bumbuli ni mbaya kuliko kawaida

    ....... nimetoka huko Bumbuli januari 2018 sikuamini barabara iliyokuwa haipikiti kipindi cha mvua Soni - Bumbuli mimi nilipita mvua kubwa ikinyesha lakini niliendesha kwa dk.45 tu Soni - bumbuli, eneo lile baya sana la mamba kwenye kona na pale pasua ambapo palikuwa ni pabaya sana sehemu zote...
Back
Top Bottom