Walioahidi walijua wazi Yanga wanakwenda kufungwa ndio kisa cha kuahidi pesa nyingi. Je pesa ilishaingizwa kwenye hiyo akaunti ya yanga tusema ni shida ya uongozi wa Yanga au GS M walikurupuka
Muhimbili kawaida wanatoa dose kubwa kwa sababu hospitali na nzuri ya kimataifa ndio maana tukaomba tukatibiwe Bugando yenye dose ndogo na kweli matokeo tumeyaona
Hadi umauti unamkuta alikuwa DW Idhaa ya kiswahili Ujerumani. Mzee wa kimanzichana ni al marhuum siku nyingi mara ya mwisho alikuwa Radio Abood ya Morogoro
Dhambi moja tu ya kukashifu roho mtakatifu ndio haisameheki, lkn dhambi zote ukijutia na kuomba msamaha kwa dhati Mungu anakusamehe. Tubu na uombe msamaha na usirudie tena
....... nimetoka huko Bumbuli januari 2018 sikuamini barabara iliyokuwa haipikiti kipindi cha mvua Soni - Bumbuli mimi nilipita mvua kubwa ikinyesha lakini niliendesha kwa dk.45 tu Soni - bumbuli, eneo lile baya sana la mamba kwenye kona na pale pasua ambapo palikuwa ni pabaya sana sehemu zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.