Recent content by mteeq

  1. mteeq

    Msaada: Kivimbe kwenye sehemu za siri

    Tafuta hii dawa, pakaa na pamba mara tatu kwa siku, acha kula vyakula vitakavyo leta choo kigumu, kula vyakula vyenye fibre nyingi pamoja na mapapai. Ukiona tatizo linazidi, nenda kwa Dr
  2. mteeq

    Kwa Dar ni chuo gani kizuri Kinachofundisha Driving Course?

    Nenda DKS DRIVING SCHOOL, shule ipo Bagamoyo Rd, Mbezi Beach Tangi Bovu. Ubora na uaminifu. Wasiliana nao.
  3. mteeq

    Wapi nitapata Battery za Gari Genuine?

    Nenda Ubungo Shekilango. Millenium park. Utapata baterry mpya, wanakupa warant ya mwaka mmoja.- Chloride exide Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mteeq

    PVC vs ALUMINIUM Windows

    double glazing, inasaidia sana wakati wa baridi kali, ubaridi wa nje auingii ndani kama ulifunga madirisha. Kwa mikoa kama Dar, kwa kweli huitaji kuweka double glazing. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mteeq

    Tujikumbushe tuliosoma Kibaha Sekondari miaka ya 1993, Mkuu wa Shule akiwa Mwaipaja

    Mwaka jana nilisikia Mwampaja anaumwa sana, sijui hali yake sasa. Unanikumbusha mbali sana, hivi mwalimu mpalaza yupo?. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mteeq

    Kwenye kila shule kuna yule Mwalimu mnoko shuleni kwenu alikuwa anaitwa nani?

    Mwalimu Mang'onda alinifundisha science Kilimo Kibasila. Nasikia amekufa. R.I.P
  7. mteeq

    Bei ya soda za Cocacola take away kutoka kiwandani ni kiasi gani?

    Bei ya Jumla kiwandani ni Tsh7900. Kununua kiwandani lazima use distributor wa eneo Fulani. Na ukitaka kufanya biashara hiyo mtaji ni Tsh200M minimum. Ambao utanunua Magari mawili canters, na chupa tupu kama 3000 cases RGB, pamoja na vinywaji vya plastic PET. Kazi ni kwako. Kama utashindwa...
  8. mteeq

    Unaweza kutumia Folic acid kwa ujauzito wa miezi 3??

    Chief, unajuwa folic acid kazi yake lakini. Sio kutoa mimba.
  9. mteeq

    Nani anamkumbuka Mzee Majambo?

    Mnanikumbusha mbili sana!.
  10. mteeq

    Natafuta soccer/ footbal table new or used

    .
  11. mteeq

    Zijue Alama za barabarani pamoja na matumizi yake

    Maelezo yaliyotolewa kwenye baadhi ya alama hayatoi ufafanuzi mzuri, hasa kwa madereva wanafunzi. Mfano alama ya R3, Maelezo yake yanatakiwa kuwa, Alama ya amri ya kukataza, Barabara imefungwa kwa magari yanayo ingia, huenda ikawa wazi kwa Magari yanayo toka. Sent from my TECNO-C5 using...
  12. mteeq

    Nani ana cheti feki hapa?

    Kazi kweli kweli, watu wamesahau MAGAZIJUTO. Jibu ni 9
  13. mteeq

    Biashara ya Usafirishaji Abiria

    Nakushauri, kwa kifupi tu. Tafuta biashara nyingine ufanye na sio ya daladala.
  14. mteeq

    Makabila zaidi ya 128 yanayopatikana Tanzania Bara

    Wakisi tunashabihiana na wamanda, wapangwa na wangoni.
Back
Top Bottom