Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,316
Zijue alama mbalimbali za barabarani na maana yake,zinaweza kuwa msaada kwako kwa namna moja ama nyingine
Na co dreva?Daah afadhari umenikumbusha hii kitu. Maana toka nimekula hii kozi miaka mitano sasa
Itakua ni sawa na kutupa hela bure. Nina experience ya miaka minne barabarani. Huo mmoja ckua vizuri sanaNa co dreva?
Ha ha hNa co dreva?
Dhaaa!! Nomaa aiseeeItakua ni sawa na kutupa hela bure. Nina experelience ya miaka minne barabarani. Huo mmoja ckua vizuri sana
Kwan upelekwa icu naHa ha h
Uliza tu.Mkuu tunaweza kuuliza maswali kutokana na hizo alama?
kwenye hizo alama za kudhibiti mbona huwa naziona kwenye njia ya makutano hiyo ya Ruhusu na simama..Uliza tu.
Swali la kwanza mara nyingi utumika pale panapokuwa na matengenezo kwenye barabara.kuna mtu uwa anashika bango la GOupande mmoja na STOP upande wa pili.kwenye hizo alama za kudhibiti mbona huwa naziona kwenye njia ya makutano hiyo ya Ruhusu na simama..
swali lingine, natakiwa kuacha umbali gan kat ya gari langu na gari jingine tukiwa barabara kuu
Naomba na ufafanuzi wa ile mistari ya njano na meupe barabarani ile mirefu na ile iliyokatikakatika vipande
Bila shaka atakua amepata alichokitaka...Swali la kwanza mara nyingi utumika pale panapokuwa na matengenezo kwenye barabara.kuna mtu uwa anashika bango la GOupande mmoja na STOP upande wa pili.
Swali la pili sijajua ni mita ngapi nimesahau ila unatakuwa uache umbali wa kutosha.
Swali la tatu MISTARI YA NJANO.pembeni ya barabara inaonyesha mwisho wa mapana ya barabara.
MSTARI MWEUPE WA KATI ULIONYOOKA.unamkataza dereva kulipita gari la mbele yake.
MSTARI MWEUPE WA KATI ULIOACHANA ACHANA humruhusu dereva kulipita gari la mbele yake.
Ni hivyo.kama haujaelewa au kuna mapungufu WATAKUJA WENGINE KUSAHIHISHA.