Biashara ya Usafirishaji Abiria

Basham

JF-Expert Member
Oct 10, 2014
743
429
Amani iwe kwenu wana JF

Kama heading ilivo

Naitamani sana hii Biashara ya usafirishaji wa abiria hasa hasa ya haice ndo ninapotaka kuanzia kabla sijaingia kwenye mabasi makubwa, Mwenye ujuzi nayo naomba anidokezee vipi inaendeshwa faida yake changamoto n.k
kuna kauli mbili kwenye hii biashara. Je, ni biashara pasua kichwa kweli kama wengi wanavodai au ni biashara ambayo inaweza kukufanya kua milionea ndani ya muda mfupi, hizi ni kauli zinazonipa utata sanaa...

Karibuni kwa mawazo yenu

Wasaalam
 
Amani iwe kwenu wana JF

Kama heading ilivo

Naitamani sana hii Biashara ya usafirishaji wa abiria hasa hasa ya haice ndo ninapotaka kuanzia kabla sijaingia kwenye mabasi makubwa, Mwenye ujuzi nayo naomba anidokezee vipi inaendeshwa faida yake changamoto n.k
kuna kauli mbili kwenye hii biashara. Je, ni biashara pasua kichwa kweli kama wengi wanavodai au ni biashara ambayo inaweza kukufanya kua milionea ndani ya muda mfupi, hizi ni kauli zinazonipa utata sanaa...

Karibuni kwa mawazo yenu

Wasaalam
Mimi pia nimeingia bila kuielewa vizuri biashara hio hivyo tusubiri wenye uelewa mzury watufahamishe
 
Amani iwe kwenu wana JF

Kama heading ilivo

Naitamani sana hii Biashara ya usafirishaji wa abiria hasa hasa ya haice ndo ninapotaka kuanzia kabla sijaingia kwenye mabasi makubwa, Mwenye ujuzi nayo naomba anidokezee vipi inaendeshwa faida yake changamoto n.k
kuna kauli mbili kwenye hii biashara. Je, ni biashara pasua kichwa kweli kama wengi wanavodai au ni biashara ambayo inaweza kukufanya kua milionea ndani ya muda mfupi, hizi ni kauli zinazonipa utata sanaa...

Karibuni kwa mawazo yenu

Wasaalam
Nakushauri, kwa kifupi tu. Tafuta biashara nyingine ufanye na sio ya daladala.
 
Hii biashara ni ya uhakika pia ina uhakika wa kuleta faida katika muda mfupi kwa vile wateja wapo tele. Kimsingi unatakiwa ukaribu na ufuatiliaji ulio makini, mwanzoni usiwe mbali na wafanyakazi wako, hakikisha matengenezo ya kawaida yanafanyika kama vile kubadilisha oil kwa wakati. Hakuna kucheka na wafanyakazi wako, mahusiano siku za mwanzo yawe kama ya paka na panya
 
Back
Top Bottom