mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,973
- 132,320
Hahahaha inawezekana huyo ni mtoto wa kishua mboga 8, hawezi jua khsu mzee huyuKama humjui ujue hii topic haikuhusu...kula kona mazee!
Hahahaha inawezekana huyo ni mtoto wa kishua mboga 8, hawezi jua khsu mzee huyuKama humjui ujue hii topic haikuhusu...kula kona mazee!
pole kikojoziHivi vijana wenzangu wa zamani, mnamkumbuka mzee Majambo? Alikuwa anavaa vitu fulani hivi miguuni na alikuwa anatembeza na kuuza karanga. Yule mzee alikuwa ananitisha sana na nilikuwa napata wakati mgumu mno nikisika anakuja mtaani kwetu.
kikojozi mwingine huyu hapanilikuwa mdogo sana, wakati akipita kitaani kwetu nlikuwa namchungulia dirishani
kikojozi mwingine tena hapaMurukulazo
Asee! Umenikumbusha mbaaali. Wakati huo nlikuwa shule ya vidudu tulikuwa tunaishi kinondoni mtaa wa ufipa. Akipita nlikuwa najificha ndani kwakuwa bb alikuwa anataka nimuone bas alinibeba ili nami nikashangae
Hivi vijana wenzangu wa zamani, mnamkumbuka mzee Majambo? Alikuwa anavaa vitu fulani hivi miguuni na alikuwa anatembeza na kuuza karanga. Yule mzee alikuwa ananitisha sana na nilikuwa napata wakati mgumu mno nikisika anakuja mtaani kwetu.
Mkuu sema vijana wa zamani wa uswahili ndio tuliokumbana na mzee majambo ,unasepa ukisikia katimba kitaa na wewe umelimwaga kojo kitandani jana usiku au umefanya msala wowote ule na bi mkubwa anaamua kuku discipline kisaikolojia kwa kumtumia mzee majambo na mipengo yake na mngozi wake sijui wa simba ule na ile harufu ya mijasho maana anapiga kwata manzese buguruni tandika nk!Hivi vijana wenzangu wa zamani, mnamkumbuka mzee Majambo? Alikuwa anavaa vitu fulani hivi miguuni na alikuwa anatembeza na kuuza karanga. Yule mzee alikuwa ananitisha sana na nilikuwa napata wakati mgumu mno nikisika anakuja mtaani kwetu.
Ni vizuri pia kwani kila kizazi na wakati wake,kwahiyo sisi huu ndio ulikuwa wakati wetu tuache tukumbushane tuliyoyashuhudia kipindi hicho..!!
nyinyi mna kushusha suruali makalioni na kucheza pool!
Hhahahahahaaaa naona watu wanakushambulia ooh mzee majambo alikuwa anajulikana tanzania nzima, tupa kulee wasio mjua mzee majambo walikuwa mikoa ya boarding sie tuliokuwa tunakaa mkoa wa day tunamjua mzee majambo vizuri.
Mie nakumbuka alikuwa akipita kinondoni B karibu na kwa dokta mvungi enzi hizo watoto wote wanaogoma kula wakisikia mzee majambo huyoo wanakula fastaa.
Umenipa taswira ya mtaani kwetu jinsi alivokuwa kipita na kofia yake na kapu la karanga na manyanga yake mkononi akipiga huku na kule na kuimba.
Hope atakuwa ameitwa mbele za haki au may be yuko hai ila wakati huo nilikuwa niko secondary school.
pole kikojozi
Zamani Dar ndio Tanzania huko kwenu kote porini tu!hata hizo karanga mlikuwa hamlimi mnaenda kung'oa au kuchuma tu porini!Ha ha ha kweli bora umeuliza...wanavyosema ni as if alikuwa anapita Tanzania nzima kuuza karanga
Ukikojozi kile cheo kama kupiga puu tu asilimia kubwa ya marijari wamepitia! hata wewe unalimwaga kojosema ulikuwa unaamka night unachenji kivazi unamweka mdogo kwenye "bwawa"lako na kumsingiziayeye ndiye "kabwanda"kwa ufupi wote waliomuogopa walikuwa vikojozi akiwemo mtoa mada bila shaka!unaruhusiwa kukanusha #Murukulazo
kwa mtu aliyekaa dar miaka ya tisini lazima uwe unamjua mzee majambo..watu walikuwa wanasema ana nyumba kumi na pia ni usalama wa taifa. haka kawimbo tulitungiwa na mama zetu "mimi majambo nakula watuuu"
Mkuu.
Niliishi Dunga pia.
Babu alikuwa anatembea kwa mguu jiji zima.
Mfano pale kwetu alikuwa akitokea msasani, kisha anaingia Drive-in,kisha Moroko ananyooka kama anaenda Magomeni, kisha anakatisha kulia anaingia Dunga street. Anakujatokea magenge ya Msufini kisha huyooo Msisiri anaishia zake Mwananyamala.
Alikuwa msanii kwa ujumla.
Watu wazima pia waliinjoi kumuona.
Isipokuwa alikuwa na kawimbo kake kanasema "mimi majambo nakula watu" kisha anakanyaga kishindo kuliza kengele/ manyanga yake nje nje njee!.
Hicho ndicho kilichokuwa kinatutisha watoto.
Na pia hapakuwa na mtoto anaesalia nje.
Yaani vikojozi na wasio vikojozi woote tulitimua mbio kuogopa kuliwa na Majambo.
Nb.
mkuu, Dunga iko Moroko siyo Kinondoni b.
😀😀😀😀Hahahaha..yule mzee hata kama ulikuwa kikojozi lazima uache,aisee alikuwa ananipa nightmares mbaya sana,sana sana alikuwa kinondoni ndio alikuwa anapita mara kwa mara......