@the boss na gozo,kila m2 anaamini tofauti ktk hilo jambo(tatizo lililopo),na mwenzio anakuambia yuko sahihi ilhali wewe ukiangalia kwa undani unaona si sahihi,na linasumbua kwa muda mrefu,mmezungumza na kuzungumza ila mwenzio anasema ok nitalifanyia kazi ila sasa inazidi na hakuna changes hata...