Recent content by Mtapenda

  1. Mtapenda

    TANZIA Mwana-JamiiForums, Thadei Ole Mushi afariki dunia

    Wala akhera hakuna mkristo wala muislam Mungu hana Dini Apumzike kwa amani marehemu
  2. Mtapenda

    Hivi vyuo vikuu vyetu havina ubora, extended high schools. No learning is taking place

    Mbona ata hao wa masters tunawaandikia hizo hizo za ku copy tena masters za UD ni wachache mnoo wanao fanya kweli asilimia 0.05%
  3. Mtapenda

    Washiriki wa mapenzi ya jinsia moja huko Marekani wameweka historia kuwa waumini wa mwanzo wa R.C kupewa baraka

    Ibada waafrica (ibada za mizimu) hazina ukakasi hao wote kitendo cha kupeleka ushoga wao madhabau ya mizimu wangekufa na story yao ikaishia hapo na ikawa fundisho kwa wengine
  4. Mtapenda

    Washiriki wa mapenzi ya jinsia moja huko Marekani wameweka historia kuwa waumini wa mwanzo wa R.C kupewa baraka

    Dini zilizo letwa na majahazi waletaji wenyewe ndio hao hatari sanaa kwa ukuu wa muafrica
  5. Mtapenda

    Ujinga tulioufanya mimi na rafiki wa Ma Mdogo wangu unanitesa sana

    Mimi nakula hadi leo rafiki wa mamdogo sema yeye ni mkali mzuri
  6. Mtapenda

    Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono

    Nimesikitiaka sanaaa kwakweli hawa wanao subiri mabikra 72 ni magaidi ya dunia
  7. Mtapenda

    Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono

    Inasikitisha sana kuona bado Kuna Watanzania wanatetea hili jambo wanafikiri watapewa mabikra wa bure 72 huko peponi
  8. Mtapenda

    Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono

    Kuna magaidi ya Tanzania yatakuja kuyatetea magaidi ya hamas. Hizi dini za uislam na ukristo na zinazo fanana na hizo ni utapeli mtupu lengo lao kubwa Dunia isikalike na isiwe sehemu ya amani Inasiktisha sanaa watanzania kukumbatia udini ambao hauna maana yoyote na hakuna kitu kinaitwa pepo...
  9. Mtapenda

    Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

    Kumbe waliuwa waumini watatu akiwemo mtoto mmoja mdogo… hawa magaidi hawana ata chembe ya huruma
  10. Mtapenda

    Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

    Kwahiyo ulitaka wafe wangapi na kwanini walipue kanisa
  11. Mtapenda

    TANZIA Professor James Shaba afariki dunia. Alifanyia postmortem mwili wa Hayati Sokoine

    Chizi kweli wewe hii sasa imeingiaje hapa na huyo mtume wako kaingiaje hapa Wee ni zuzu eboo
  12. Mtapenda

    Israel wasambaratisha msikiti wa kale

    Wewe ni zaidi ya zuzu
  13. Mtapenda

    Vifo Katesh; Je, Tanzania kuna milima mingine kama mlima Hanang?. Serikali imechukua hadhari gani?

    Kuna sehemu nyingi za wazi hii nchi kuna mahali nimenunua hekari 100 kwa laki moja moja nafanya kilimo na bado maeneo yapo ya wazi Nchi bado inatudai tuendelee kuzaa
Back
Top Bottom