Kaseja akiwa katika ubora wake 2008/2009 ashawahi chezeshwa no 8 kwa dakika kadhaa, Simba ikiwa ya moto na uhakika wa ushindi. Kaseja alikuwa mzuri ila alikuwa katika era isiyo na mafanikio makubwa kimataifa.
Mangungu hahusiki kwenye daily operation za Simba, ni kiongozi asiye na nguvu kutokana na katiba mpya ya Simba. Try again na CEO wake na MO ndio wenye mamlaka na maamuzi, inahitajika kuwe na uwazi kuelewa tatizo la usajili la Simba, je ni pesa ndogo au ni uzembe wa scouting team ? Simba ina...
BOT wanasababisha uwepo wa black market sababu wanagoma kubadilisha thamani halısı ya pesa yetu dhidi ya USD. Proper intervention ni kuingiza $ za kutosha mtaani na sio kuweka fixed value halafu mwisho wa siku $ hazipatikani.
Serikali na chawa wa Msoga ndio wanazidi kumfanya JPM azidi kuwa hai, vijembe na chuki dhidi ya JPM ndio vitazidi kumuweka hai na legacy yake kuongelewa.
Najua ni kitu kikubwa ila hii ni biashara sio charity, walipewa mikataba ya explorations tu, hiyo sio sababu ya wao kutulalia kwenye mikataba ya LNG, kuna faida gani Tz kuruhusu mkataba wa 30bn USD halafu usiwe na faida ya kutosha kwa uchumi wetu.
Seems Makamba alishafanya yake, sababu wanalazimisha mikataba iliomalizwa na Makamba isainiwe hata kama ni mibovu au haina maslah kwa Tz, kama mkataba ni mbovu hakuna kusaini, hakuna kuingia production phase wala kujenga LNG processing plant, siku akija mwingine with a better deal tutaendelea.
USA na NATO wako katika pressure ya kutafuta mbadala wa gas ya Russia, Tz na Mozambique ndio potential virgin resource ya gas inayoweza kuwa mbadala wa Russia huku wakiwa salama kisiasa.
Kama mkataba ni mbaya as Biteko alichonukuliwa, GoT iendelee kukaza, wao ndio wanahitaji mbadala wa Russia...
Kwani ni lazima tuingie mkataba na wao ili kujenga LNG, mkataba wa Tz na hizo kampuni ni exploration tu, LNG ni inshu tofauti na serikali haina ulazima wa kufanya kwa speed yao kama mikataba wanayotaka haina maslah kwetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.