BOT wanasababisha uwepo wa black market sababu wanagoma kubadilisha thamani halısı ya pesa yetu dhidi ya USD. Proper intervention ni kuingiza $ za kutosha mtaani na sio kuweka fixed value halafu mwisho wa siku $ hazipatikani.
Serikali na chawa wa Msoga ndio wanazidi kumfanya JPM azidi kuwa hai, vijembe na chuki dhidi ya JPM ndio vitazidi kumuweka hai na legacy yake kuongelewa.
Najua ni kitu kikubwa ila hii ni biashara sio charity, walipewa mikataba ya explorations tu, hiyo sio sababu ya wao kutulalia kwenye mikataba ya LNG, kuna faida gani Tz kuruhusu mkataba wa 30bn USD halafu usiwe na faida ya kutosha kwa uchumi wetu.
Seems Makamba alishafanya yake, sababu wanalazimisha mikataba iliomalizwa na Makamba isainiwe hata kama ni mibovu au haina maslah kwa Tz, kama mkataba ni mbovu hakuna kusaini, hakuna kuingia production phase wala kujenga LNG processing plant, siku akija mwingine with a better deal tutaendelea.
USA na NATO wako katika pressure ya kutafuta mbadala wa gas ya Russia, Tz na Mozambique ndio potential virgin resource ya gas inayoweza kuwa mbadala wa Russia huku wakiwa salama kisiasa.
Kama mkataba ni mbaya as Biteko alichonukuliwa, GoT iendelee kukaza, wao ndio wanahitaji mbadala wa Russia...
Kwani ni lazima tuingie mkataba na wao ili kujenga LNG, mkataba wa Tz na hizo kampuni ni exploration tu, LNG ni inshu tofauti na serikali haina ulazima wa kufanya kwa speed yao kama mikataba wanayotaka haina maslah kwetu.
Ahmed Ali amefikisha kisu kwenye mfupa, Simba ilisha ongoza kundi lenye Al Ahly ndani yake, Yanga imeishia kuwa ya pili na bado wana Yanga wamechanganyikiwe, wangekuwa wa kwanza kama Simba si wangetembea uchi.
Hujui kitu, Yanga alifungwa Cairo kwenye hiyo mechi na kufanya matokea yawe 1-1, kuweka mizania sawa na matokeo ya Dsm. Hivyo kwa historia pia Yanga hajawahi pata draw mbele ya Al Ahly Misri.
Pili, Al Ahly hii ni bingwa mtetezi ila Al Ahly ya wakati huo ilikuwa inahitafuta, kutegemea Yanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.