Kwa hatua hii tumpongeze mkuu wa mkoa wa DSM kwa ngazi yake ameanza vizuri ktk vita hii ya madawa ya kulevya. Kikubwa inatakiwa aungwe mkono na watanzania wote wazalendo na vyombo vingine vyote vya serikali. Yeye ameamua kuanzia kwa mteja na kama hao aliowataja wakitumika vizuri tutamjua mchawi...
Afadhali umweleweshe ndugu yetu na mfano mrahisi ni ishu ya Israel kujenga kwenye makazi ya Palestine, UN wametoa katazo Marekani wanasapoti sasa hapo nani mwenye nguvu, hizo nyingine ni stori tuu kama ulivyosema Mkuu. Kikubwa tusiombee vikwazo watakao umia ni wananchi wa kawaida na ndivyo...
Kwa jinsi nilivyomuelewa mtoa mada hajamaanisha hela ya serikali itumike kwa wala Unga, bali hao vijana walioathirika watumike kuwabaini wauzaji vivyovivyo back wise hadi kuwapata importers. Na kwa kuongezea wakishabainika na kuthibitishwa wafanyiwe kile anachofanya Rais wa Philippines ndugu...
Mkuu witholding tax inalipwa na anaelipa na si anaepokea.Nikupe mfano kukusaidia Halmashauri wakimlipa mzabuni wanakata hiyo WHT, vivyo hivyo mwajiri akilipa watumishi wake anakata PAYE ambayo pia ni miongoni mwa witholding taxes.
Harusi sio biashara, bali wanaotohuduma katika hizo harusi ndio wanafanya biashara na hao ndio wanatozwa kodi.Harusi haijirudii bali watoa huduma katika maharusi wataendelea na biashara yao na hao ndio wanapaswa kulipa kodi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.