Recent content by Mtanzania No.1

  1. Mtanzania No.1

    Kagera: Mlipuko wa bomu Wilayani Ngara waua Wanafunzi 05, zaidi ya 45 wamejeruhiwa

    Nikweli na kwa taarifa zaidi washafika wa 5 na majeruhi ni kumi na nane.
  2. Mtanzania No.1

    Itakuwaje nikikimbia kwa speed kali zaidi ya mwanga?

    Ngamia aliyeongelewa kwenye biblia sio huyo mkuu.
  3. Mtanzania No.1

    MADAWA YA KULEVYA: RC Makonda na Kamanda Sirro waongea na wanahabari

    Kwa hatua hii tumpongeze mkuu wa mkoa wa DSM kwa ngazi yake ameanza vizuri ktk vita hii ya madawa ya kulevya. Kikubwa inatakiwa aungwe mkono na watanzania wote wazalendo na vyombo vingine vyote vya serikali. Yeye ameamua kuanzia kwa mteja na kama hao aliowataja wakitumika vizuri tutamjua mchawi...
  4. Mtanzania No.1

    Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

    Afadhali umweleweshe ndugu yetu na mfano mrahisi ni ishu ya Israel kujenga kwenye makazi ya Palestine, UN wametoa katazo Marekani wanasapoti sasa hapo nani mwenye nguvu, hizo nyingine ni stori tuu kama ulivyosema Mkuu. Kikubwa tusiombee vikwazo watakao umia ni wananchi wa kawaida na ndivyo...
  5. Mtanzania No.1

    Madawa ya kulevya; Serikali kama ina nia ya dhati kutokomeza ianzie hapa kwa sasa!!

    Kwa jinsi nilivyomuelewa mtoa mada hajamaanisha hela ya serikali itumike kwa wala Unga, bali hao vijana walioathirika watumike kuwabaini wauzaji vivyovivyo back wise hadi kuwapata importers. Na kwa kuongezea wakishabainika na kuthibitishwa wafanyiwe kile anachofanya Rais wa Philippines ndugu...
  6. Mtanzania No.1

    Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

    Mkuu makala iko vizuri sana. Big up@ The Boss
  7. Mtanzania No.1

    Tozo ya zuio(withholding tax) kwa wapangaji

    Mkuu witholding tax inalipwa na anaelipa na si anaepokea.Nikupe mfano kukusaidia Halmashauri wakimlipa mzabuni wanakata hiyo WHT, vivyo hivyo mwajiri akilipa watumishi wake anakata PAYE ambayo pia ni miongoni mwa witholding taxes.
  8. Mtanzania No.1

    Africa's richest man faces challenges in Tanzania, closes down cement factory-Forbes

    Kwa kuwa ww unafahamu zaidi ya waliofanya maongezi Ikulu tuwekee hapa hayo masharti aliyopewa Mhe.Rais.
  9. Mtanzania No.1

    Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mabalozi 21

    Mdini na Mkabila ni wakuogopwa kama Ukoma.
  10. Mtanzania No.1

    Sheikh Khalifa ammwagia data zaidi Rais Magufuli za wasomi waislamu

    Mdini, Mkabila ni wakuogopwa kama Ukoma. Hili hata kwenye katiba hatupaswi kulifikiria. Serikali haina Dini.
  11. Mtanzania No.1

    Kwanini sherehe za harusi hazilipiwi TRA wakati ni pesa za umma?

    Harusi sio biashara, bali wanaotohuduma katika hizo harusi ndio wanafanya biashara na hao ndio wanatozwa kodi.Harusi haijirudii bali watoa huduma katika maharusi wataendelea na biashara yao na hao ndio wanapaswa kulipa kodi.
Back
Top Bottom