Recent content by Mtanzania Mzawa

  1. M

    Ronaldo de lima(The Real Ronaldo), Ronaldo de asis moreira(Gaucho) na Christiano Ronaldo nani mkali?

    Acha kufananisha mchezaji wa Mbao Fc na Ronaldo De Luis Nazario Lima. . . The Phenomenon
  2. M

    Diwani aliyejiuzulu CHADEMA adai chama kimekosa ajenda na dira, awapa Lema na Nassari siku 7 kuthibitisha alinunuliwa

    Niliposkiliza clip za Nassari apa JF wale madiwan waliorekodiwa bila kujua walikri kua Diwani pekee ambaye alikataa ela ni huyu Mchungaji Ngowi kama sikosei
  3. M

    Imebainika, urafiki wa Raila Odinga na Magufuli ulichangia Raila kushindwa uchaguzi

    Mimi sina chama so naongea reality wewe unayeabudu CDM adi kujitoa ufahamu endelea ccm inatokea wap kwenye mjadala wa Kenya
  4. M

    Imebainika, urafiki wa Raila Odinga na Magufuli ulichangia Raila kushindwa uchaguzi

    Mmawia Don Panic JENGA hoja usimtukane mwenzako kwa hoja ambazo hazkuongezei mlo inaonyesha jinsi mnavyopelekwa na matukio usiabudu vyama simama wewe kama mwenye kujitambua unaonyesha kua kichwani kwako mwepesi na mweupe u have to mature. ...usmuabudu EL au mbowe abudu akili yako na imani...
  5. M

    Imebainika, urafiki wa Raila Odinga na Magufuli ulichangia Raila kushindwa uchaguzi

    Hahaha kaka nisamehe mimi...mbona umekua mkali sana kuna evidence nyingi ambazo mahakama hawakuzdsplay especially za Tallying. ...nenda deep utajua Mengi ila Uhuru chini ya master mind wake Ruto anayetaka Urais 2022 ata kwa kumwaga damu wanaipasua Kenya ... Kataa kubali Uhuru aliiba najua...
  6. M

    Imebainika, urafiki wa Raila Odinga na Magufuli ulichangia Raila kushindwa uchaguzi

    Apana nataka Kenyata atekeleze matakwa ya Mahakama. ...Damu ya Msando inawahandama hao Jubilee
  7. M

    Ronaldo de lima(The Real Ronaldo), Ronaldo de asis moreira(Gaucho) na Christiano Ronaldo nani mkali?

    Pale Yokohama kama si Seoul ..Wajeruman hawatakaa wamsahau...
  8. M

    Usimchukulie poa Dangote. Mengi, Bakhressa ni vitone tu

    Utajiri wa Dangote ameuchuma kwa kuhonga wanasiasa katika nchi mbalimbali anakomiliki vitega uchumi kuanzia kwao Nigeria na Target yake kubwa hua ni Mawaziri ...kwa kifupi anaamini katika kutumia Rushwa ili kukwepa kodi na kupata kandarasi kubwa hivyo si msafi file lake ni chafu
  9. M

    Ronaldo de lima(The Real Ronaldo), Ronaldo de asis moreira(Gaucho) na Christiano Ronaldo nani mkali?

    Bila shaka watoto wa juzi ambao hawakubahatka kuangalia World Cup ya 1998 ambayo Chrstiano Ronaldo alkua na miaka 12 na Gaucho bado alkua nyumban Brazil watakuambia Christiano na Gaucho ndio bora...wakati The Phenomenon,Ronaldo De Luis Nazario Lima alikua pale Paris akiwa anachanganya chenga...
  10. M

    Imebainika, urafiki wa Raila Odinga na Magufuli ulichangia Raila kushindwa uchaguzi

    Amekimbia kwa sababu marekebsho IEBC waliyoamriwa na mahakama wayafanye hawajafanya ikiwemo kuwaondoa maofsa waliohuska na wizi wa kura...kuinyma kandarasi kampun iliyoprint karatas za kura na kampun ya simu iliyotowa network and IT support ambayo ni Safaricom
  11. M

    Ronaldo de lima(The Real Ronaldo), Ronaldo de asis moreira(Gaucho) na Christiano Ronaldo nani mkali?

    Usimfananishe Ronaldo De Luis Nazario Lima (The Phenomenon ) na watoto wadogo...apo anayemkarbia kwa mbali ni Ronaldnho Gaucho
  12. M

    Imebainika, urafiki wa Raila Odinga na Magufuli ulichangia Raila kushindwa uchaguzi

    August 8 Uhuru hakushinda zile kura ni vifaranga vya computer zilitotolewa na mashine ndio maana Mahakama ikautupiliwa mbali. ..inasemekana mashine ya kutotoa kura ilikua Karen ....kura halisi zilitumwa kwenye sever Ufaransa ambazo uhuru aligaragazwa vibaya....haujui ni kwanini Uhuru ataki Ezra...
  13. M

    Uchaguzi Liberia: Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa dunia, George Weah akaribia kuibuka kinara wa mbio za Urais

    Hongera zake alimtumia mke wa Chaz Taylor aliyeko Gerezani kutokana na Umwagaji damu kule Sireleone kama mgombea mwenza na akambeba Wear kwa taarifa tu kwa wasiojua ni kua bado Charles Taylor anapendwa sana nchini Liberia na katika kipindi cha kampeni alipga simu live kwenye media /Tv na kumpgia...
  14. M

    Sinema ya Nassari inaendelea, inaonekana huyu Ngowi ni tishio kwa CHADEMA Arusha

    Nassari ulifanya jambo jema kuanika uovu huo sasa achana na hizo drama fanya kazi ya kutumikia wananchi usilewe sifa si Arumeru tu madiwani walikoondoka na kama ujajitambua ilo zigo Lema na Mbowe wamekuachia wewe...kumbuka Arusha jimbon kwa Lema madiwani kwake waliondoka na Hai kwa Mbowe pia...
  15. M

    Tanzania SGR inajengwa Usiku na Mchana.

    SGR ya Tanzania Mkandarasi ndio yupo site na ela yote ipo ya kazi what's the problem kwan...kuna maeneo maalum kwa akili na yasiyo na akili dunian? Tanzania tuna safari ndefu sana siamin kama Watanzania ndio wanaomba Mungu Reli yetu ikwame cz kwa maoni yako ata mtoto mdogo anajua unaomba Mungu...
Back
Top Bottom