Recent content by mtanzania by origin

  1. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania No treatment of tinnitus in Tanzania??

    Mlete Dodoma Benjamin Mkapa Hospital atapona
  2. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    NMB tayari
  3. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania Wabobevu wa mikopo naomba msaada wenu hapa

    Unatumia njia gani kuomba mkopo?kupitia Pepmis utumishi?au umeenda Direct Bank?
  4. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania Angalizo la Picha: Donda lisilopona kwa zaidi ya Miaka 10, Naomba msaada wa Dawa

    Azadirachta indica tàfuta hiyo dawa ni ya india form ya herbal ipo kama makuta kidonda chochote kinapona mpaka diabetic wounds/ulcer
  5. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania Naombeni mawazo yenu kuhusu "evacuation"

    Kwanza una hakika ana mimba? Usikute mwenzio kaingia period?anyway evacuation au MVA kimtaani 60k-100k haizidi hapo otherwise unapigwa mkuu
  6. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania Muuguzi mwenye Bachelor ni course gani za masters nzuri kusoma

    Kasome Masters of Public Health utanishukuru
  7. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania Filamu hizi tano zimenifanya nione nchi Afrika Kûsini ni kinara wa kutoa Movies Kali Afrika

    Shaka ilembe noma can't wait for season 2 sijui kama itakuwepo?ila Queen Modjaji nayo ilikua nzuri lakini sio kama Shaka ilembe
  8. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania Dkt. Godwin Mollel anastahili Uwaziri Kamili Sasa!

    DDS hata Meno yake kayashindwa kuweka dental formula yake vizuri uwaziri ndio atauweza??
  9. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Nitashangaa sana tukishindwa Kesi ya Madai ya Tsh. Trilioni 3.2 dhidi ya Orca Energy

    Mwambie akamalize elimu yeke ya OUT kama atafaulu wahedi
  10. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania Treni ya SGR yazimika tena Morogoro!

    Mida hiyo umeme ulikatika Mwanza saa 5 kasoro asbh na umerudi jioni saa 9 mchana huwenda kulikua na blackout grid ya taifa ndio ikachangia hiyo hitilafu kwenye SGR tuwape muda bado mapema sana
  11. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Msaada tafadhari hizi ajira unaweza kuomba zaidi ya mara moja?mikoa tofauti hasa za Afya?
  12. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania Msaada; Shida ya mkojo unanitesa sana

    We jamaa tafuta urologist mzuri na itakua gharama sana though nimeona majibu yako Sandy patches ni makovu yanayotokana na ugonjwa wa kichocho na wewe ulipata kichocho cha kibofu cha mkojo ambacho kwa badae inaweza kusababisha ukapata saratani ya kibofu hili tatizo lote ni madhara au...
  13. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa kuhusu NGO inayoitwa PCHA Tanzania

    Bado wanaendelea kunyoosha watu kwa utapeli
  14. mtanzania by origin

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa kuhusu NGO inayoitwa PCHA Tanzania

    Bado wanasubilia mradi uanze aisee wameshatupiga hao majambazi[emoji56][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom