Haya Sasa wale wa Who are you na wale wakutaka kuishambulia Kenya ili waweze ku access bahari ya Hindi kazi kwenu.
https://youtu.be/PyRCz88qKio?si=efd4OUPBTT9cv64d
Kuanzia Rais mstaafu ambaye ndio God father, Rais mwenyewe, Waziri Mkuu, Mawaziri, Wabunge, MaRC, MaDC, viongozi wa CCM na wengineo wote ni WASWAHILI kwa maana Ile ya Mzee Mtei iliyodadavuliwa msibani kwake na Jenerali Ulimwengu
Habari ni kuwa Mama Samia ametembea kwa gari Leo Dom to Tanga kufanya kikao na wakubwa wa Jeshi.
Ndege haiaminiki sana kipindi hiki. Dhima na azma ya kikao bado sijajua kama ni kikao kazi au kikao mkakati
Vyombo kazi yao na kiapo Chao ni kulinda katiba, Maslahi ya Umma, Tunu za Taifa.
Mpaka Sasa amevunja yote huenda vyombo vinashughulika nae bila yeye kujua.
1. Mamlaka ya nchi inatoka kwa wananchi. Kajipachika. Kavunja katiba.
2. Wameuawa maelfu, internet imezimwa, vikwazo vya kiuchumi n.k...
Leo mama akiwa amevaa kofia ya Urais amewadanganya Wazee wa mkoa wa Dar es salaam waziwazi bila woga wala aibu .
Mfano ni kuhusu zoezi la uchaguzi na idadi ya kura.
Huu ni ukosefu wa maadili ya uongozi. Kusema Uongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.