Recent content by Mtanke

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi kikao hiki ndio kiliamua hizi drama za siasa za upinzani/CHADEMA ili Mama Samia apete October

    Naweza kuwa nilikuwa sahihi wakati ule nini!? Ngoja nione kama wote waliohama watarudi Chadema baada ya kumaliza kazi!?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Rais hajazungumza na Lissu huko Segerea!?

    Yote ni magereza ya mahabusu na wafungwa kwa wakati mmoja
  3. M

    JamiiForums Tanzania Rais hajazungumza na Lissu huko Segerea!?

    Hivi Rais hajaweza kupata fursa ya kuzungumza na Tundu Lissu aliotembelea gereza la ukonga!?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Rajab AULA tena! Asogezwa patamu zaidi

    Labda kuna deals za Kariakoo mpya
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marekani wanajenga Base ya kijeshi Kenya!

    Haya Sasa wale wa Who are you na wale wakutaka kuishambulia Kenya ili waweze ku access bahari ya Hindi kazi kwenu. https://youtu.be/PyRCz88qKio?si=efd4OUPBTT9cv64d
  6. M

    JamiiForums Tanzania Serikali hii ni ya Waswahili

    Kuanzia Rais mstaafu ambaye ndio God father, Rais mwenyewe, Waziri Mkuu, Mawaziri, Wabunge, MaRC, MaDC, viongozi wa CCM na wengineo wote ni WASWAHILI kwa maana Ile ya Mzee Mtei iliyodadavuliwa msibani kwake na Jenerali Ulimwengu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kikao cha Samia na wakubwa wa Jeshi Tanga ni kikao kazi au?

    Habari ni kuwa Mama Samia ametembea kwa gari Leo Dom to Tanga kufanya kikao na wakubwa wa Jeshi. Ndege haiaminiki sana kipindi hiki. Dhima na azma ya kikao bado sijajua kama ni kikao kazi au kikao mkakati
  8. M

    JamiiForums Tanzania DAWASA yatoa ratiba ya mgawo wa maji Dar

    Kazi kwenu. Tatizo la maji litasaidia kuwasahaulisha ya Oct 29. Tujiongeze. Naambiwa na mishahara hakuna ni full kukata mirija
  9. M

    JamiiForums Tanzania Gharama Kubwa za Kuitetea Serikali Isiyo na Uhalali: Kwanini Tanzania haiwezi kumudu njia hii?

    Walinda katiba na Maslahi ya Umma wameamua kumlinda mtu na kikundi chake
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wakuu! Nimekuwa mtu wa kimoja chali nifanyeje?

    Fanya mazoezi ya kukimbia
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wakuu! Nimekuwa mtu wa kimoja chali nifanyeje?

    Fanya mazoezi ya kukimbia
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kuna ambalo hajalivunja kweli? Katiba, Maslahi ya Umma, Tunu ya umoja. Awe makini na vyombo ni kama majini vile

    Vyombo kazi yao na kiapo Chao ni kulinda katiba, Maslahi ya Umma, Tunu za Taifa. Mpaka Sasa amevunja yote huenda vyombo vinashughulika nae bila yeye kujua. 1. Mamlaka ya nchi inatoka kwa wananchi. Kajipachika. Kavunja katiba. 2. Wameuawa maelfu, internet imezimwa, vikwazo vya kiuchumi n.k...
  13. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia anahutubia Taifa kupitia Mkutano wa Wazee wa Dar es Salaam, ukumbi wa JNICC

    Leo mama akiwa amevaa kofia ya Urais amewadanganya Wazee wa mkoa wa Dar es salaam waziwazi bila woga wala aibu . Mfano ni kuhusu zoezi la uchaguzi na idadi ya kura. Huu ni ukosefu wa maadili ya uongozi. Kusema Uongo
  14. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh: Wanaokusudia kuandamana tarehe 9 Desemba, sisi kama Waslam tutatoka kwenda kukabiliana nao

    Ujinga kama huu aliufanya Rais mmoja huko Misri aliyetokana na kundi la Muslim Brotherhood
Back
Top Bottom