Recent content by Mtanganyikan

  1. M

    Unawafahamu vizuri madaktari wa muhimbili?

    Hii nchi imeoza kabisa. Tumejenga taifa la watu wasiopenda kujituma, na watu wanaopenda kufanya mambo yote kinyume na maadili ya kiutu na kiutendaji wa kazi katika sehemu zao. Hali hii iko kuanzia kwa watendaji serikalini hadi sekta binafsi. Kwa mfano mtu anayechakachua mafuta ya magari, hivi ni...
  2. M

    Mufuruki: Vijana wengi hawana sifa soko la ajira

    Hilo neno. Maana kwani hata kijana akipata nafasi ya kwenda field, kazi anazopewa zinaweza kuwa si za kumpa changamoto kujiandaa na ajira halisi
  3. M

    Kusengenya watu kunakogeuka sifa na utamaduni mpya wa jamii

    Nimekaa kwenye kona, na hii kompyuta nikishangaa jinsi ushabiki wa mabaya yanayowakuta watu unavyoshangiliwa, asijikwae mtu ambaye jina lake limezoeleka katika jamii (mchungaji, mwanasiasa, mcheza sinema, nk) utaona watu wanavyo amka na kupata nguvu ya ziada kuchangia kutaka kumdidimiza kwa...
  4. M

    Mwamvita Makamba apandishwa cheo

    Sawa sawa Vuvuzela, waambie!
  5. M

    Mwamvita Makamba apandishwa cheo

    Siachi kujiuliza ya ndoa yake yanaingiaje hapa? Kwa nini iwe ngumu kuamini Mwanamke 'kutoka' kimaisha? fungueni mitazamo
  6. M

    Kulikoni ITV?

    Kwa sifa hii, nasukumika kumfagilia saaaaana!
  7. M

    Kulikoni ITV?

    Watanganyika wataalamu wa kukosoa kwa kubomoa na si kwa kujenga....
  8. M

    Good to be here

    Being a technologically challenged being, it took me this long to register, but it is really good to be here finally. Asanteni kwa kunikaribisha, Mtanganyikan mie.
Back
Top Bottom