Jina Eliza lilaniwe kabisaa, mbwa yule alinifanya niumie hadi nikisikia neno eliza linatajwa mahali nashtuka kama nina kifafa, mapenzi konyo saaana. Mbwa yule laana impate hukohuko aliko usukumani
Hi kwa kijna yoyote awe wakike au wa kiume mwaminifu aje PM.
Kazi: kijana wa kuuza duka la vifaa vya simu, awe mwanza mjini
Kama upo tayari njoo tuzungumze
Bonge la dili huo mti, majani yake kuna namna ya kutengeneza badae unachanganya na chumvi na maji unasukutua na kutena huku ukitaja jina la mwanamke unaemtaka mara nne, hapo hata awe alikua hakutaki lazima akubali. Nakutafuta mkuu tutengeneze dawa hyo inalipa kinoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.