Acha hiyo msumbiji komesha unapewa kijiti unakipiga pa kinageuka nyoka unamtuma nataka mil 5 fasta tu anakuletea masharti yake akileta ela lazima alambe uchi wa mkeo ndipo ukipige kirudi mti
Sikiliza hicho kituo kwa maana ya magic fm na channel ten ni mali ya ccm na kama huamini juzi kapelekwa mkurugenzi tika TBc jaffery aniu pia mkuu wa nchi aliwapa mil 200 wanunulie camera kwa ajli ya live coverage
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hiyo sehemu ipo inapatikana wilaya ya liwale na iko ndanj ya msitu wa selous ukifika karibu na eneo husika lazima ukutane na majaribu ama nyoka wakubwa au simba ukiweza kukabiliana na ofu hiyo umeshinda jaribio la kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nina tatizo na nyie nmb yaani message alert ya pesa kwenye smu yangu mwezi acheni masihara nina tatizo nataka message alert kila pesa inapoingia kwenye acc yangu mwezi sasa form kibao nimejaza no action.taken
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.