Recent content by mtalibani

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa Richmond ashinda kesi

    Nenda shule utajua your empty (Selekale ndio nn)
  2. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, unamuona rais wa Ufaransa suala la polisi kuuawa?

    We kampeni cmeanza au ni wale wale akili za kushikiwa. Kichwa kipo Lumumba au Ufipa wewe unalala Mbagala
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kigwangalla: Mange Kimambi uongozi ni kiti cha moto, tunahitaji support sio matusi na lawama

    Ila anaonekana Naibu waziri hajui health system ya US,anasikiliza juu juu bila kusoma in details kitu ambacho kwa Kiongozi hakipo sawa, ukizingatia anaongoza wizara inayoshabiliana na mambo hayo
  4. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria kuhusu ndoa ya Mengi na K-Lynn

    Mengi ni Public figure kila anachofanya jamii iliyomzunguka inatakiwa kujifunza ubaya wake na uzuri wake kwa hiyo hiyo inampunguzia privacy right. Pili hata yeye kuna mambo yakimtokea binafsi huwa anaenda kwenye midea na kuelezea umma kama ni privacy si angeishia kumalizana na police tu.Tatu...
  5. M

    JamiiForums Tanzania DOWANS waanza kulipwa rasmi na serikali

    Nchi hewa,rais hewa,malipo hewa bac uchumi nao ni hewa
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nini sababu za Mke wa Rais kuingia katika Siasa?

    ni haki yake kama wife wako anaweza mruhusu naye ajiunge kwenye siansa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Chocolate Zamsababishia Wema Sepetu Matatizo Ajisalimisha Kwa Doctor

    tupunguze utumbo jama jf cyo sehemu ya kujadili fungus za mdomo we need 2 post sensitive issues
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dkt Kawambwa: Serikali isilaumiwe matokeo mabaya Kidato cha Nne, adai hang'oki ng'oo!

    Umesahau pia yeye akiboronga anahamishwa wizara na ci kufukuzwa au kuachwa,hapa kelele zote tunasaidia kumuamisha wizara.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Lowasa na Pesa za kumwingiza Ikulu 2015

    wewe jembe la KIGOMA,unaandika je mambo ya kusadikika humu ndani,tuambie vitu vyenye evidence na realiable source cyo bla bla na story za vijiweni.thatz a cheap politics.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Green Acres Secondary School Aumbuka.

    kazoea huyo shule yake inahistoria ya kuiba mitihani sana
Back
Top Bottom