Mtu amekwambia atakipigia asa wewe unampigia kwanini??
Usione kimya Dada yupo anakupambania ili na wewe upate kidogo, ni vile tu ratiba zimeingiliana.
Ungetuma posho kidogo kuharakisha mchakato saa hii mama ingekuwa imeshakutafuta upo unaizaba mali.
Usimkatie mtu tamaa.
Ilo kopo litakufaa siku moja, umuhimu wa ilo kopo utaonekana pale ukiwa na haja.
ata dadayo aliona umuhimu wa ilo kopo ata akakubali kuingia nalo faraghani, Tena lilimpa vitu ambavyo wewe huwezi kumpa.
"Mtu sio nyau" in Dotto Magari's voice
Kila mtanzania anawaza na kuwazua jinsi gani atapata Gepu apige pesa lundo aishi maisha ya ndoto zake.
Kila anayepata nafasi ya uwakilishi katika kutenda kazi kwaajili ya watz wengine, anasahau majukumu yake ya msingi yaliyomuweka katika position iyo nae anaanza kutafuta magepu ajinufaishe yeye...
Ni nini asa sababu ya kukamatwa kwake??
Au ni uoga tu wa masisiemu jinsi anavyo jaza nyomi na kusepa na kijiji bila promotion wala kupeleka wasanii?
#NoReformNoElection
Kwanza punguza mawasiliano yaliyopo kati yenu, kama mnatumiana messages na kupigiana simu mara kwa mara anza kupunguza hadi mara moja kwa siku au msiwaliane kabisa.
ukisha ona attachment kati yenu imepungua na yeye ameweza kuishi bila kuwasiliana na wewe, then mwambie tu ukweli kwamba huna tena...
je muwekezaji atabeba risks na losses endapo zitajitokeza ndani ya iyo miaka miwili??
au yeye atasubiri gawio tu no matter the circumstances??
Na endapo hisa zikapanda thamani, mtakubali kuuziwa kwa bei ya wakati huo??
Ipo hivi;
Wanawake wanataka wababa kwasababu kipato cha wababa kipo stable, kwahiyo anakuwa na uhakika wa kutatuliwa shida ndogondogo.
Wanaume(wababa) nao pia wanapenda mabinti wadogo sababu kipato cha hao mabinti kinakuwa bado hakieleweki, so inakuwa rahisi kuwatawala.
Majobless in our 20s...
mimi naamini akifuatwa kwa namna sahihi akakalishwa chini bila kulahumiwa kwa anayoyafanya apo nyumbani atawasikiliza tu.
Tatizo anahisi mnataka mumfukuze apo nyumbani ndiomaana anapandisha na kuwa mkali, ata ungekuwa wewe kwenye viatu vyake lazima ungekuwa mkali tu.
Huyo kwenye maongezi...
Huyo kachanganyikiwa na maisha na anahitaji msaada wa haraka, anatakiwa apelekwe kwa msaikolojia sema ndio hivyo bongo wasaikolojia wa mchongo.
Inaonekana alikuwa na matarajio mengi kwenye maisha, lakini mambo yamemuendea mlama na kupelekea kijiingiza kwenye ulevi na mibange.
Msaada mnaoweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.