Nimeingizwa chaka

Nimeingizwa chaka

Baada ya kuachana na aliye kuwa mke wangu nilitafuta mpenzi ambaye nimekua naye kwa miezi miwili sasa. Leo tulikubariana tuonane nimemtafuta saa tano akasema nisubiri mda sio mrefu atanipigia simu, mpaka mda huu bado nasubiri simu yake, nimejaribu kumpigia simu haipokelewi, mda huu nipo tu kwenye paso yangu nasubiri zamu yangu, wanawake shikamoni
Mtu amekwambia atakipigia asa wewe unampigia kwanini??

Usione kimya Dada yupo anakupambania ili na wewe upate kidogo, ni vile tu ratiba zimeingiliana.
Ungetuma posho kidogo kuharakisha mchakato saa hii mama ingekuwa imeshakutafuta upo unaizaba mali.
 
Mtu amekwambia atakipigia asa wewe unampigia kwanini??

Usione kimya Dada yupo anakupambania ili na wewe upate kidogo, ni vile tu ratiba zimeingiliana.
Ungetuma posho kidogo kuharakisha mchakato saa hii mama ingekuwa imeshakutafuta upo unaizaba mali.
Amenitafuta saa mbili kasoro toka saa tano asubuhi wala sijamjibu meseji yake maana na mimi nilinunua malaya
 
Baada ya kuachana na aliye kuwa mke wangu nilitafuta mpenzi ambaye nimekua naye kwa miezi miwili sasa. Leo tulikubariana tuonane nimemtafuta saa tano akasema nisubiri mda sio mrefu atanipigia simu, mpaka mda huu bado nasubiri simu yake, nimejaribu kumpigia simu haipokelewi, mda huu nipo tu kwenye paso yangu nasubiri zamu yangu, wanawake shikamoni
Sababu za kumuacha mke ni zipi?
 
Baada ya kuachana na aliye kuwa mke wangu nilitafuta mpenzi ambaye nimekua naye kwa miezi miwili sasa. Leo tulikubariana tuonane nimemtafuta saa tano akasema nisubiri mda sio mrefu atanipigia simu, mpaka mda huu bado nasubiri simu yake, nimejaribu kumpigia simu haipokelewi, mda huu nipo tu kwenye paso yangu nasubiri zamu yangu, wanawake shikamoni
Nenda kitambaa white utapata twiga
 
Baada ya kuachana na aliye kuwa mke wangu nilitafuta mpenzi ambaye nimekua naye kwa miezi miwili sasa. Leo tulikubariana tuonane nimemtafuta saa tano akasema nisubiri mda sio mrefu atanipigia simu, mpaka mda huu bado nasubiri simu yake, nimejaribu kumpigia simu haipokelewi, mda huu nipo tu kwenye paso yangu nasubiri zamu yangu, wanawake shikamoni
zamu yako ya kufanya nini? ulituma nauli? ya kutolea?
 
Back
Top Bottom