Huyu mzee kafilisika kabisa kimawazo, ana tapa tapa tu mithili ya mfa maji kwani anaona jinzi ambavyo anguko la ccm lilivyokaribia.Badala ya kuwaza afanye nini ili wizara yake ifanikiwe zaidi,anabakia kuiwaza tu chadema.AMA KWELI CHADEMA INAWANYIMA USINGINGIZI na bado mtakesha sana mkiiwaza...
Mh. Zitto umefanya vyema kuomba radhi na umeanza kurudisha tena hadhi yako tena ktk chama na taifa kwa ujumla,umeonesha ujasiri mkubwa na hali ya unyenyekevu kwani kuomba radhi huwa zoezi jepesi kwa watu wengi.Tuanze upya mwaka tujenge chama chetu.HERI YA MWAKA MPYA.
Hapakuwa na sababu wala umuhimu wa kufanya sherehe kubwa kiasi hicho,angetangaza tu akiwa hata mwenyewe pale anapotoleaga hotuba zake, umuhimu ulikuwa tu kwenye mchakato.MATUMIZI MABOVU HAYA.Ole wao watu hawa kwa maana siku zao za ulaji zinahesabika.
Loh! Sawa kaka kazi njema,unanikumbusha mbali,mimi nina uzoefu wa kutoa bikra mabinti watano,ila namshukuru Mungu huyo wa tano ndiye mke wangu na tuna mtoto mmoja.
Loh! kazi njema kaka! Unanikumbusha mbali sana kwani nina uzoefu wa kutosha na zoezi hilo,nimetoa bikra za mabinti watano na ninamshukuru Mungu huyo watano ni mke wangu kwa sasa na tuna mtoto mmoja.
EE MUNGU NA UIREHEMU NCHI HII,Mungu anataka ajidhihirishe wakati huu kati ya watu ili watu wajue ni Mungu yupi anayeishi kati ya Mungu wa Eliya au mungu wa mabaali.
Makamanda wenzagu wa Chadema msife moyo,ili chama kiimarike zaidi lazima minyukano kama hii iwepo,mwishowe tutajua nani ndiye mbaya na hatimaye hatua stahiki zitachukuliwa juu yake.
Mh! Zitto siyo lazima uwe rahisi,kazi uliyofanya mpaka sasa ni kubwa tu,kaa utulie ulinde heshima yako,achana na mambo ya usaliti,TUJENGE CHAMA KAKA cha Chadema ili tulete ukombozi wa kweli.
Habari ya leo wana Jf.nitumie nafasi kumshukuru Mwenyekiti BAVICHA mwanza kwa ufafanuzi mzuri alioutoa,vijana wale wasaliti wadhibitiwe haraka iwezekanavyo,ikiwezekana wapigwe mawe.
Dr Slaa ndiye kiongozi pekee atakayeleta mabadiliko ya kweli kwani tumeish naye,tunamwona na yupo miongoni mwetu,hana woga,ni mchambuzi wa mambo,hakurupuki,hakika udaktari wake siyo wa Madesa au wa kupewa kama wa akina mjomba na baadhi ya mawaziri wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.