waasisi wa taifa letu ,walipata changamoto kubwa baada yauhuru,kwani baada ya uhuru watu waliweka vitendea kazi chini na kufurahia matunda ya uhuru, kazi sehemu mbalimbalim zikasimama ,maana watu walifikiri kufanya kazi ni utumwa, hiyo labda ni kwavile kipinudi kile cha ukoloni walifanya kazi...