Acha kupotosha umma, kwenye ufake wowote hakna kinachofanyika nafuu! Wawe halali ndo Anko magu anachotaka,
Pia usijfanye msemaji wa serikali ktk Ajira, darasa 7, form 4 kuna Ajira zao serikalini nasio unavyosema kuwa hakuna Ajira serkalini! Kama umefoji kimojawapo rudi shule au chuo ukasome...
Acha kupotosha umma, kwenye ufake wowote hakna kinachofanyika nafuu! Wawe halali ndo Anko magu anachotaka,
Pia usijfanye msemaji wa serikali ktk Ajira, darasa 7, form 4 kuna Ajira zao serikalini nasio unavyosema kuwa hakuna Ajira serkalini! Kama umefoji kimojawapo rudi shule au chuo ukasome...
Watu wengine akli zenu za kifala kweli, Ajira ni haki ya VIJANA au watanzania we unafkr wote waktumia ujuzi ndo watatoa tatzo la Ajira?
Elimu ya Tanzania toka upate Uhuru unaona ni ya kumwezesha msomi kujiajiri? Hii Elimu inamuandaa msomi kuajiriwa, hao baba zako wambie wabadli mifumo ya Elimu...
Kama wamekulana PGA chn au ukubali mle wote na jamaa, mm npo na jiran Yangu alimfuma mke wake na jamaa na akakiri mwanamke kuwa kweli na hatardia tena lakn jamaa aktoka yule jamaa anakula mzgo kama kawaida tena ndani kwake,
Juz kati kaliwa chocho tena Mme yupo kaenda kuoga tu kumbe mwanamke...
Hapa kwetu wakubwa ndo wanakula mema ya nchi hafu huku chini ndo wanabaniwa matumiz na kupunguziwa mshahara,
Ukitaka kuona kama hapa bongo ni ufisadi toa hoja ya kutoa posho za wabunge uone wanavyopinga vikali, lakn posho za walimu kutolewa wanaunga mkono! Bongo bdo sana!
Sent from my VF695...
Fanya uwaambie familia yako mkuu maana sisi hatna akili kama zako, ss tunafata katba inasenaje hayo mengine naona unawashwa tu, akshnda ataendelea akishndwa aende chato kupumzka au uje umuachie familia yako aiongoze maana yaonekana ww imekushnda!
Sent from my VF695 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.