Recent content by mt2k2

  1. M

    Msaada kwa wazoefu wa kusafirisha package nje ya nchi

    kama ukitumia huduma za shirika la posta tanzania ni vyema ukatumia EMS kwani gharama za EMS kwa Marekani ni ndogo kuliko Ordinary Parcel na unatakiwa kwenda kulipia Kibali katika ofisi ya mamlaka ya chakula na dawa TFDA. na ufike na huo Mzigo katika ofisi ya Posta ambayo ina afsa wa Custorms...
  2. M

    Kijana, kujenga nyumba ni uoga wa maisha

    kweli watu wanaotegemea urithi uki muiga utaadhirika mjini
  3. M

    Mtihani wa Mbatia, nani ataibuka kidedea?

    huyu mtoto namjua ngoja nimwonyeshe mzazi wake upuuzi wa mtoto wake
  4. M

    Msaada wa training ya self defence

    tembelea maduka ya tanganyika arm's utapata silaha mbali mbali kama vile perpe spray nk kikubwa ni kibali
  5. M

    Msaada wa training ya self defence

    shule za sanaa za kujilinda ziko nyingi inategemea sanaa unayo itaka na umbali kutoka mahali unapoishi
  6. M

    Mtandao wa crdb bank vipi?

    P u p. Virus
  7. M

    Tukutane hapa wapenzi wa Tamthilia za Phillipine na Mexico

    1:The young and the restless 2:sunset beach
  8. M

    Msaada wa mawazo kuhusu tabia ya mwajiri wangu

    Poleni na majukumu ya kuelimishana. Mimi ni mgeni humu JF,nimepata msukumo kutokana na watu mbali mbali nilioona wanavyopata msaada humu JF Mimi ni mfanyakazi wa Taasisi moja iliyo chini ya Serikali.na kutoka nimeajiriwa sasa haipungui miaka minne. Mwajiri amekua akituhamasisha kusoma...
  9. M

    Hodi hodi humu jf

    Wajameni hodi naomba mnipokee!
  10. M

    Usilalamike Huna Mtaji,Mtaji umeuweka Kiganjani Mwako.

    ahsante ushauri. mzuri sana!
Back
Top Bottom