kama ukitumia huduma za shirika la posta tanzania ni vyema ukatumia EMS kwani gharama za
EMS kwa Marekani ni ndogo kuliko Ordinary Parcel na unatakiwa kwenda kulipia Kibali katika ofisi
ya mamlaka ya chakula na dawa TFDA. na ufike na huo Mzigo katika ofisi ya Posta ambayo ina afsa wa Custorms...
Poleni na majukumu ya kuelimishana. Mimi ni mgeni humu JF,nimepata msukumo kutokana na watu mbali mbali nilioona wanavyopata msaada humu JF
Mimi ni mfanyakazi wa Taasisi moja iliyo chini ya Serikali.na kutoka nimeajiriwa sasa haipungui miaka minne.
Mwajiri amekua akituhamasisha kusoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.