Msaada wa training ya self defence

Msaada wa training ya self defence

Self defence ni elimu pana sana.ila kwa sasa jifunze kwanza mental self defence mpaka utakapopata mwalimu wa kukufunza. Haya elimu ndiyo hii. Epuka kufungulia mziki kwa sauti kubwa au kuacha malango wazi katika muda wa mchana kwani unashawishi vibaka, jitaidi kuzoeana na wakabaji na vibaka wa mtaani kwenu kwa kuchangia sherehe zao,mpira na hela ya singara kama unayo kwa kufanya hivyo unawafanya wawe walinzi wako hata upite usiku wa saa ngapi,jifunze kutumia silaha ya jad au kisasa barabara,

duh mtaa nimeama ila vibaka wa maeneo haya siwez kuwajua maana nashinda ndani nikitoka ni job
 
niliibiwa kwangu na ni vitu kibao vyenye thaman kama milion mbili afu ukicheki ndo naanza maisha mtu anakusafishia sebule mpaka leo haiiniingii akilini natamani bastola siwwz kukaa kuwangoja waje waibe tena japo nishaama ila naishi mwenyewe

haya all the best,wataalam hapa watakuelekeza jinsi ya kupata....ila muda mwingi utakuwa unailinda hio bastola kuliko inavyokulinda wewe

 
jifunze kupeleleza kupitia wenyeji wako hiyo tabia ya kukaa ndani ni hatari zaidi kwani mara nyingi vibaka wanapora au kukaba watu wasio wajua. jichanganye nao kwa kushiriki mzishini na sherehe kwa ufupi mambo ya kijamii maana wao ndiyo huchimba makaburi au husaidia wakati wa zarula kama moto au mafuriko au ugomvi au ujambazi mkubwa maa huwa hawalali,shiriki soka lao kwa kutazama katika viwanja lakini kaa karibu na njia ya pakukimbilia ili kuepuka fujo za uwanjani.
 
Kama wewe ni mwanamke jitahidi sana kutumia saluni za maeneo hayo na maduka ya hapo pia hata kama unausafiri wako jitahidi kutumia usafiri wa umma ili usimame kwenye kituo cha daladala kwa muda mrefu kidogo ili uzoeleke na wapiga debe maana 90% ya wapiga debe ndiyo vibaka na wapagazi wa majambazi. Epuka kujifungia ndani maana usipojulikana na jamii inayokuzunguka lazima utatengwa tu na ni rahisi kufanyiwa jambo baya.
 
Kama wewe ni mwanamke jitahidi sana kutumia saluni za maeneo hayo na maduka ya hapo pia hata kama unausafiri wako jitahidi kutumia usafiri wa umma ili usimame kwenye kituo cha daladala kwa muda mrefu kidogo ili uzoeleke na wapiga debe maana 90% ya wapiga debe ndiyo vibaka na wapagazi wa majambazi. Epuka kujifungia ndani maana usipojulikana na jamii inayokuzunguka lazima utatengwa tu na ni rahisi kufanyiwa jambo baya.

ok mkuu
 
manually nishatafuta sana kumpata mtu wa kunifundisha jinsi ya kuweza kujiprotect kwa mfano ukivamiwa
SABABU ilionifanya niombe huu msaada ni mazingira ninayoishi ya hapa dar kwani hata atokee mtu hapa anipore simu siwezi kuzuia kumpa maana ikitokea akaweka shinikizo kidogo sina self defence
BINAFSI nishawahi ibiwa watu walivunja na kuiba vitu vingi vilivyokua sebuleni ikiwemo laptop,simu, binafsi hata kama ningewasikia nisingeamka maana singeweza kupambana nao
Pili nishaama nilipokua nakaa lakini bado nina hofu je mtu akija kuingia pale nitapambanaje nae sababu naishi mwenyewe bado
HIVYO BASI kama kuna mtu anaweza akanipa training hii au ana mtu ana mjua tafadhali nipo radhi tuanze mapema kabla ya pasaka
Asanteni

Fika Russian Culture Jmosi saa tisa na nusu mchana. kuna Karate training bure. ukipenda utajiunga kwa darasa la malipo.
 
niliibiwa kwangu na ni vitu kibao vyenye thaman kama milion mbili afu ukicheki ndo naanza maisha mtu anakusafishia sebule mpaka leo haiiniingii akilini natamani bastola siwwz kukaa kuwangoja waje waibe tena japo nishaama ila naishi mwenyewe

nipe kibarua hicho nikupe ufundi kidogo ......tekniks 10 zinakutosha kuwa vizuri
 
iko wapi hiyo mkuuu sehemu gani hapa dar
Ukifika Agha Khan Hospital ukiuliza tu Russian Culture utaelekezwa, ni kama mita 150 kutoka hapo. Ama unaweza kufuata mchoro huu wa maelezo.

Kama unatokea Salender Bridge unaelekea Ferry/Ikulu kupitia Obama Road/Ocean Road, ukishapita Puma Filling Station mbele kidogo kuna makutano ya barabara, ingia mkono wa kushoto. Jengo la tatu bila shaka ndipo Russian Culture ilipo.
 
Back
Top Bottom