Recent content by Mt Paulo

  1. Mt Paulo

    Yamenikuta na mimi kwa mke wangu

    Nenda mahakama ya Mwanzo fungua kesi ya fumanizi Andaa fumanizi Muandae mwenyekiti na mjumbe waje washuhudie kama huyo jamaa tia ndani kesi mahakamani dai fidia ya ten M Usiwe fala
  2. Mt Paulo

    Mwenye ushahidi wa njama za kumuwekea sumu Lissu auweke hadharani na siyo kuichafua Serikali yetu kipindi hiki cha Kuelekea Uchaguzi Mkuu

    njoo uonyeshe jambo lolote aliloongopa Maria Sarungi ukilosa basi tutafahamu mtoto wa kiume anaye msikiliza Sarungi na wewe nani wakiume real
  3. Mt Paulo

    Mwenye ushahidi wa njama za kumuwekea sumu Lissu auweke hadharani na siyo kuichafua Serikali yetu kipindi hiki cha Kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Hiyo amani na umoja wa kitaifa unaouzungumza tunao ,tunao tokea lini .Lakini hao wanaotaka kuharibu taswira ya nchi yetu ni wakina nani? Je si serikali ya chama cha mapinduzi. Je tunachafuliwa au tunajichafua? Mh Mwakyembe,Mzee Mangula nk waliwahi lishwa sumu je ni chama pinzani au chama tawala...
  4. Mt Paulo

    Kujenga Apartments

    Ungekuwa mkazi wa Dodoma ningekushauri tafuta kiwanja Makulu na hela ingetosha Pili naomba kazi ya ujenzi
  5. Mt Paulo

    Kansela mpya wa Ujerumani kumbe ni rafiki na Tundu Lissu? Namuona FW de Klerk mweusi akinyanyua mikono

    Jambo la msingi la kujiuliza ni Je wanayoyaongelea/madai ya Chadema ni ya uongo au ni ya haki
  6. Mt Paulo

    Mchumba, mpenzi na baba wa baadae

    mzee mbona andiko lake liko poa tu au macho yangu na ubongo vimetengana
  7. Mt Paulo

    Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

    Ila kuna maanisha nini Sababu baada ya siku hamsini ndio utabiri unavyosema ila Yeye kaja baada ya miaka 500
  8. Mt Paulo

    Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

    Hayo maandiko ya Agano la kale yote yanatabiri ujio wa Yesu. Injili ya Yohana inatabiri ujio wa roho mtakatifu, Ndio maana Yesu alipopaa aliwaambia mitume wasitoke Yerusalemu mpaka pale watakapopokea nguvu mpya"Roho Mtakatifu" na walipokea baada ya siku hamsini"50" Mtume amekuja zaidi ya...
  9. Mt Paulo

    MJADALA: Maneno, jina huamua malengo au ndoto zako

    inategemea na katuni yenyewe Mtu hushiba kwa njia tatu mpaka nne 1.Kwa Kusikia 2.Kwa kuona 3.Kwa kuhisi Kama anacho angalia kinamfundisha upotofu ni lazima akili yake iwe inafikiri huko kila mara na mwsho inakuwa tabia
  10. Mt Paulo

    SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

    Hoja yako ya msingi kwenye andiko lako ni ipi? Kwa mimi ninavyofahamu ni kuwa kichwa na hitimisho ndivyo vinavyobeva uhimara na uthabiti wa andiko,,kwenye andiko lako kichwa na hitimisho havina ushirika.
  11. Mt Paulo

    Nchi za kikristu zina nini kwani

    Kwanza ni lazima ujue kuwa Papa ni kiongozi wa Dhehebu fulani sio Dini
  12. Mt Paulo

    Naombeni msaada wenu namna nzuri ya kumkomesha huyu mwanamke!

    watazamaji wengi wa tamthilia tunaona kilicho igizwa tu lakini behind the scene huwa ni Siri ya muandaaji Hivi uliwahi kujiuliza kuwa Mungu alikuepushia nini baada ya wewe kukataliwa naue na je umewahi kujiuliza kama angekukubalia je ungekuwa hapo ulipo hukupaswa kufurahia yeye kuachwa na...
Back
Top Bottom