Kaka huu mtandao wa mchongo na inaonekana wanae mtu serekalini wameshamshika tayari kwahyo hizi kelele zetu ni kuondoa stress tu lkn hamna kitakachofanyika
Huu pia ni ushoga mtu unadhalilika km kifurushi hakijaungwa kwann utume msg Kwa mtu nliekua nampigia umwambie nilitaka kumpigia lkn sina salio km sio kudhalilishana
Habarini wakuu..
Kuna hilo Jambo ambalo lipo na limetokea Kwa wengi ambapo unajiunga kifurushi aidha Kwa tigopesa au salio unakatwa pesa tigo wanarudisha msg kuwa tayar wamekuunga halafu kumbe hawajakuuunga.
Sasa inakuja pale unapotaka kupiga simu unaambiwa huna salio la kutosha mbaya zaidi...
Mm betting kiukweli imeshanishinda yaani iko hivi siku unampiga muhindi fresh mikeka hata mitano hlf akianza kukupiga ww inazidi uliompiga kiufupi hasara nyingi kuliko faida pengine wenye bahati zao za kuweka matreni ya hela ndogo hlf wanapiga hela ndefu Ila Sisi wa team mbili au options mbili...
Basi sawa subirini ruzuku na muwapige porojo watz km kawa mpate wadau huko nje wawafidhili porojo zenu na hali mkijua kabisa hz ni porojo hatuna tuendapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.