Hakuna chama kitaingia madarakani bila kubadilishwa katiba iliopo mnapoteza muda wa wananchi au wafuasi mnaohitaji chadema mpaka sasa ishapoteza imani karibu robo ya wafuasi wao! Mmekuja with another party!! It's funnyYes,tunataka contracts zinazoeleweka sio wizi,win win.That is what I hope Umoja Party will stand for.
Hao unao waita mabeberu let me tell you wanaibiana wenyewe kwa wenyewe pia huko makwao siasa na madaraka ni utajiri ukijua kucheza michezo hiiyoKwa hiyo ninyi mabeberu kutuibia ni ruksa,dah!Loons indeed.
Wewe inaelekea ni mtu mwovu sana.Kama unaweza kucheza ukawaibia Watanzania you are not worth living,shaba ni halali yako.No wonder mlimuona Magufuli ni mbaya,he was right to be rough on you.Okay,ndio maana Umoja Party has been proposed:to stop that evil,stop pinching of our resources and bring true development to our people.Hao unao waita mabeberu let me tell you wanaibiana wenyewe kwa wenyewe pia huko makwao siasa na madaraka ni utajiri ukijua kucheza michezo hiiyo
Sio lazima katiba ibadilishwe kwa kuwa sio hitaji la kisheria,acha umbumbumbu.Hakuna chama kitaingia madarakani bila kubadilishwa katiba iliopo mnapoteza muda wa wananchi au wafuasi mnaohitaji chadema mpaka sasa ishapoteza imani karibu robo ya wafuasi wao! Mmekuja with another party!! It's funny
Ustake kuniambia imani yko inasema magu hakuiba utanifanya nijute HATA kukuquote!Wewe inaelekea ni mtu mwovu sana.Kama unaweza kucheza ukawaibia Watanzania you are not worth living,shaba ni halali yako.No wonder mlimuona Magufuli ni mbaya,he was right to be rough on you.Okay,ndio maana Umoja Party has been proposed:to stop that evil,stop pinching of our resources and bring true development to our people.
Basi sawa subirini ruzuku na muwapige porojo watz km kawa mpate wadau huko nje wawafidhili porojo zenu na hali mkijua kabisa hz ni porojo hatuna tuendapoSio lazima katiba ibadilishwe kwa kuwa sio hitaji la kisheria,acha umbumbumbu.
Chama hiki hakihitaji wafadhili kutoka nje,kwa kuwa sio chama cha wachumia tumbo,nia ni kutumikia Watanzania.Basi sawa subirini ruzuku na muwapige porojo watz km kawa mpate wadau huko nje wawafidhili porojo zenu na hali mkijua kabisa hz ni porojo hatuna tuendapo
Sasa Magufuli walim-mind ndio maana hakutoboa.Don nikupe kiashiria kidogo,and this is simple.Ukiona mabeberu wanapenda Rais wenu,ujue mnapigwa.Sasa Samia mabeberu wanampenda,kwa hiyo jibu unalo!
Alifia madarakani kwa kuwa aliwapenda wananchi wake upeo na aliadhimia kulinda resources za Watanzania na kwa hili mabeberu wakaona he was not worth living.Wamefanya hivyo kwa viongozi wengi Duniani,Magufuli sio exception.Walimuua Patrice Lumumba,Samora Machel,Gadafi,Sadam,Kennedy,Nkurunzinza nk.nk..
Labda ila hiko chama wala siamini kama ni chama pinzani.Hayati Mwalimu Nyerere
alisema upinzani wa kweli utatoka CCM!This is the time.
Kama kisipo-wekewa mizengwe,kukawa na a fair play ground na viongozi wazuri,hiki Chama kina uhakika wa kuingia Ikulu mkuu.Ni wazi sasa kwamba CCM haiwatakii Watanzania na nchi yetu mema.Viongozi ni wachumia tumbo proper, na kama yupo Mtanzania asiyeliona hili baada ya miaka 61 ya uhuru wa bandia na kudanganywa,basi huyo atakuwa kipofu na mjinga wa kutupa.It is now or never.Labda ila hiko chama wala siamini kama ni chama pinzani.
Tusubiri tuone.
Na upinzani kushinda labda vyama viungane ila kuongeza vyama vipya wala hakutakua na ushindi wowote ndgu.
Ipa watega, apa unadhihirisha kuwa kwenye kundi la wahuni na wewe umo.Sijawahi muona Beberu Tangu nizaliwe Tanzania kwa sababu nilizaliwa baada ya uhuru hivyo ukoloni na ubeberu sijawahi uona labda kidogo ukoloni uliibuka kipindi cha utawala wa awamu ya tano chini ya Kayafa mwendakuzimu.
Kutekwa, kuuawa ilikua ni Enzi ya awamu ya tano tu? Vp ulimboka, mwangosi, wafanyabiashara ya Madini waliuwawa awamu ya tano?Wonders zipi? Za kuteka watu na kuwaua. Na kujifanya yet ndio kila kitu? Wonders za watu wasiojulikana?
Mwangosi na wale wafanyabiashara wa madini Moro aliwauwa yeye?Umenena vyema, chama la kuua watanzania! Chama litafanana na banyamulenge