Recent content by MSWANGA

  1. M

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Du! Sasa mshikaji alikuwa hajawa na familia ya damu yake sasa katutoka hii balaaaaa kwa sisi vijana tusiyo na familia, ila hamna noma mungu amependa zaidi.
  2. M

    Hukumu ya lema ilipikwa.

    ninaingiwa hofu na majaji wa sasa ipo haja ya kuwafanyia interview kama kenya, katika hili tusubili pia hukumu kesi inayo endeshwa na majaji sumbawanga mjini kati ya chadema na ccm
  3. M

    Samwel Sitta: Siyoi Sumari hakuwa Chaguo la wanaCCM

    Huenda comrade ameshindwa juu ya lile linalo daiwa na wadau kuwa sioi na babamkwe wa mh. Lowasa
  4. M

    Mnahitaji kujua MATOKEO CSEE 2011?

    Achen uhuni wanajf toen taarifa sahh hii ni ishu nyet.
  5. M

    Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    Ungozi wa mkoa wa rukwa kwa kupitia halmashauri zake mpaka dakika hii bado zimewakopa wafanyakazi kwa kuto kuwalipa mshahara hususani sekta ya waalimu. Kimsingi kuto kumpa mtu mshahara na kukaa kimya pasipo taarifa yoyote nikumwingiza mtumishi katika wakati mgumu hususan kumuathiri...
  6. M

    Madaktari bingwa Muhimbili kuanza mgomo kimapinduzi Jumatatu

    Nimesoma upepo, hii so ishu, swala nikupiga flat rate kuanzia kwa waheshimiwa mpaka kwa madaktari.
  7. M

    Uteuzi wa kamati ya Mama Sitta kusimamia na kutatua mgomo wa Madaktari Tanzania

    Bunge tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Naibu Spika Job Ndugai limeteua kamati itakayosimamia kutatua mgomo wa madaktari unaoendelea hivi sasa. Mwenyekiti atakayeongoza kamati hiyo teule mama Sitta. Je, uamuzi uliochukuliwa utakuwa ni suruhisho kwa mgomo huu wa wataalam hadhimu?
  8. M

    Madaktari bingwa Muhimbili kuanza mgomo kimapinduzi Jumatatu

    Wakuu wa kazi, binafsi naishauri serikali ifanye mafikilio katika kada nyingine pia kwani hii imekuwa too much mazingira ya kazi ni magumu kuliko ilivyo kawida. Sekta ya Afya ni nyeti pia hata elimu ambayo waalimu wamekuwa wajasiliamali katika katitka kuuza vishet na maandazi ili hali siku ziende.
  9. M

    Ikulu: Rais hajaidhinisha posho za wabunge!

    Ninasikitika na mfumo huu wa sasa unaofanya nchi hii kuwa katika wakati mgumu kwa haya yanayotokea. Lakini naamin kwamba kila kipindi kina wakati wake acha uwanja huu uwe shamba la bibi, pia ipo siku watu watakuwa na yakujibu.
Back
Top Bottom