Madaktari bingwa Muhimbili kuanza mgomo kimapinduzi Jumatatu

Awana ubavu huo hata siku moja
nani anataka kupelekwa kiburugwa hospital weeeeeeeeeeeeeeeeee subiri uone
 
Nimesoma upepo, hii so ishu, swala nikupiga flat rate kuanzia kwa waheshimiwa mpaka kwa madaktari.
 
Nina wasiwasi athari za mgomo huu haiwagusi viongozi viongozi wetu moja kwa moja ndiyo maana suala wanalishughulikia kisiasa kwa kutoa marahisi na yasiyo sahihi.
 
Hii nchi hata mwendawazimu anaweza akaongoza, mwacheni Mpona aendelee mapinduzi hayataletwa na kizazi hiki labda kizazi cha under 10, wote tunapiga kelele tu humu ndani, Mponda anaongea hivyo anatoka bungeni na leo anaweza kwenda popote na si tunamchungulia tu na kuchekacheka, wakati ilitakiwa hata kumtemeA MATE. Hapa naanza kuona uwezo wa akili wa Ma dr. kweli PCB zao wanaanza kuzitumia

Hivi jukumu la kusimamia afya ni la serikali au madaktari?
 
FYI,
I am a doc, and let me assure you this is the most respected person amongst us. We are not fools to follow what anyone says. He has the karisma that's why we have granted him the oppourtunity to coordinate our feelings, anger, suggestions, you name it

With sorrows to the govt
 
Hivi huyu Jk anasubiri nini au amechoka nasafari ya Davos yaani anakaa kimya wakati nyumba inaungua?
kwani ni lini ulimuona akichukua hatua kwa jambo lolote liwe nyeti au la kipuuzi kwake kila kitu sawa, usifikiri kuwa ule usemi kuwa hawezi kuchukua maamuzi magumu ni kumuonea ndivo alivo!!
 
Ametomea Tanzania hii MTM. Nisichojua ni ana sifa gani za kuweza kupewa wizara ili aiongoze. Tulipo sasa hivi watu hawaangaliwi kwa uwezo walionao. Wanaangaliwa kwa namna tofauti sana na vile uongozi unavyotaka.
Yaani mambo yanavyoenda utafikiri FAT ya Ndolanga na Rage! Ni full chaos kwa kwenda mbele!

Je unakumbuka Mh Anna Abdallah aliwahi kuwa waziri wa Afya?

Je alikuwa na sifa gani kumshinda Dr Haji Mponda?

Sioni wa kulaumiwa zaidi ya katiba yenu.

 
Madakatri Bingwa katika hospitali ya taifa Muhimbili wamefanya kikao cha dharura kujadilli hutuba ya Bwana Mponda na kukubaliana kuanza mgomo kupinga taarifa iliyotolewa na serikali Bungeni.

Mgomo huo umetangwazwa kutokuwa na kikomo hadi pale Rais Kikwete atakapoa tamko rasimi la Serikali yake ikiwa ni pamoja na Bwana Mponda kuwaomba rodhi Madaktari na Watanzania wote juu ya upotoshaji alioutoa bungeni kuwa Mgomo umememalizika na hakuna athari kubwa zilizojitokeza katika mahospitali n sasa huduma zinaendelea kama kawaida.

Aidha katika taarifa yao ambayo itatolewa baadae na Dr Ulimboka inaomba kada nyingine za Afya na zisizo za Afya kama Walimu kuunga Mkono Mgomo huo mkubwa na wakimapinduzi

Source MHN



Time is not your best friend JK and ur Team plz take care, Watanzania tumechoka



Nafikiri SMTz lazima iwe makini sana katika kutatua mgogoro huu. Kwani inaonekana wazi kuwa kuna Siasa zimeingia ndanimwe.
 
Hujui kwamba jk alipimwa akakutwa ana ugonjwa wa 'upungufu wa maamuzi mwilini'?

kwa kweli na inaonesha ugonjwa huu unaweza kumuua au kumfanya akawa na matatizo makubwa sana ni hatari sana ugonjwa huu
 
Nawaunga Mkono Madoctor! Hakuna atakayepona ktk hili Watanzania. Wakulu ndio wameshalianzisha hivyo.
 
duh! Kazi ipo aisee, hivi huu mgomo utaisha lini?


End less strike tl shoulder drop, Uzuri wa madaktari wanamshikamano ambao unatokana na uhakika wa kazi hata kama wakifukuzwa watasota kidogo tu then wanaishia wanakotafutwa na sio kama waoga walimu wetu wao wakitishiwa nyau mara moja wananywea halafu kesho yake wanapiga mizinga vilabuni/Bar, kama maspecialist wameanza mgomo basi clerical na procedure zote watafanya maprofesa wanaopata posho kubwa kama za wabunge? ngoja tuone timbwilitibmbwili
 
Back
Top Bottom