Welcome back mkuu toka kifungoni,nilikutafuta sana kipindi cha msiba wa dada yetu Regia hadi nilipo google nikakuta uko Banned
I support the doctors
Kaaaaazi kwelikweli, Taifa la Wapumbavu huongozwa Kipumbavu, You are F*^^%ed, oh! NO We ARE!!!!!
Madakatri Bingwa katika hospitali ya taifa Muhimbili wamefanya kikao cha dharura kujadilli hutuba ya Bwana Mponda na kukubaliana kuanza mgomo kupinga taarifa iliyotolewa na serikali Bungeni.
Mgomo huo umetangwazwa kutokuwa na kikomo hadi pale Rais Kikwete atakapoa tamko rasimi la Serikali yake ikiwa ni pamoja na Bwana Mponda kuwaomba rodhi Madaktari na Watanzania wote juu ya upotoshaji alioutoa bungeni kuwa Mgomo umememalizika na hakuna athari kubwa zilizojitokeza katika mahospitali n sasa huduma zinaendelea kama kawaida.
Aidha katika taarifa yao ambayo itatolewa baadae na Dr Ulimboka inaomba kada nyingine za Afya na zisizo za Afya kama Walimu kuunga Mkono Mgomo huo mkubwa na wakimapinduzi
Source MHN
Time is not your best friend JK and ur Team plz take care, Watanzania tumechoka
Kuna mod mmoja hivi mjingamjinga.
Mponda ni #$%^&(*&^%$#$%^&*(zake).... he this everyone is a fool
sijui katokea wapi yule kenge
Nakuomba usiwaguse mamods tunakuhitaji hapa. Nanusa harufu ya ban nyingine.
He gained fame then, but this time it's with style....and yes all doctors are with him all the way, minister's explanation at the parliament was to expose him, a non doctor leading a doctors strike....so the strike will be meaningful if only angekuwa daktari???
Sijui kwanini hakuzungumzia Swala la wao kuombwa kujiuzulu.....