Wadau nisaideni kunijuza juu ya chuo ambacho kinaendesha course ya 3D animation kwa hapa tanzania(DSM).
Vyuo vingi nilivyotembelea vinaendesha course ya graphics design tuu.nawasilisha!
NB:Kama ikiwezekana na hata approx ya ada na mengineyo
Natanguliza shukran!
Ifike muda enough iwe enough cause tumekuwa wajinga kwa muda mreefu mpaka mungu katusaidia kumfanya yule mzee amrudie mungu na kumpa nguvu ya kuspeculate hiyo mikataba japo atapigwa vita
Tatizo mkuu Mystery watanzania ni wasahaulifu sana kuna madudu mengi yamepitishwa hapo bungeni.Fikiria fao la kujitoa kwenye mifuko ya jamii mpaka ufike miaka 55 wakati life span ya mtz ni 45-55 na kazi zenyewe ni temporary contracts,ikapitishwa tu kiaina aina.ukufuatilia kiukweli ni sheria...
Swala la makinikia limenifundisha jambo kubwa sana, wakati watu wanalivuta liweze kukidhi malengo na matakwa yao ya kisiasa, mimi nililichukua kama somo kibiashara nikalinganisha na shule anayoitoa mdau Ontario kwenye shule ya Forex nikashangaa sana kuona ujio wa huyu kabaila ulivyogeuza uelekeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.