Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,480
- 30,152
- Thread starter
- #61
It is true.....
Kuwa wanaungwa mkono zaidi na wazee wanaozidi miaka 50, wananchi walioko vijijini na wananchi ambao hawajaenda shule!
Kumbe ndiyo maana na wao wakaridhia kuwa qualification pekee ya kuwa Mbunge hapa TZ ni only kujua kusoma na kuandika!
Nadhani hiyo utaikuta TZ pekee ambako dereva wa Mheshimiwa anatakiwa kuwa na HIGHER qualification ya minimum requirement kuwa form four leaver, wakati bosi wake Mbunge hata kama kaishia darasa la 4 siyo issue, ilimradi tu ajue kusoma na kuandika!
Yale majibu ya twaweza yametoa picha kamili ya CCM.......twaweza:ccm inaungwa mkono zaidi na vilaza
sikushangai
Kuwa wanaungwa mkono zaidi na wazee wanaozidi miaka 50, wananchi walioko vijijini na wananchi ambao hawajaenda shule!
Kumbe ndiyo maana na wao wakaridhia kuwa qualification pekee ya kuwa Mbunge hapa TZ ni only kujua kusoma na kuandika!
Nadhani hiyo utaikuta TZ pekee ambako dereva wa Mheshimiwa anatakiwa kuwa na HIGHER qualification ya minimum requirement kuwa form four leaver, wakati bosi wake Mbunge hata kama kaishia darasa la 4 siyo issue, ilimradi tu ajue kusoma na kuandika!