Tokea enzi ya mama Dunda wanakula chakula na ni Shule pekee iliyokua na huo utaratibu tokea zamani wilaya nzima.wasimamizi Wa huo mpango Wa chakula watiwe moyo na sio kuwavunja moyo.
Hiyo Shule wanao utaratibu mzuri Wa chakula cha wanafunzi tokea muda mrefu .na matokeo yao ni mazuri kila mwaka nadhani kama utaharibiwa huo utaratibu hasara nikwa watoto na familia zao.kikubwa utaratibu tu uwekwe vizuri na kuwe na muhtasari Wa vikao vya maafikiano na wazazi.
Jitahidi kufanya mambo positive kipindi hiki ili moyo utakavyokuwa normal uje ujipongeze.kuliko kuingia kwenye kunywa pombe kupita kiasi au kuwa jeuri.ongeza kusali, Fanya kazi sana, jichanganye na watu.kama unasoma soma sanaa. Au usitake kufuatilia habari zake kabsaa.
Ulipoanza kukosea ni kumpenda ili kumsaidia.enewey huyo kaumbiwa kuteshwa ,keshazoea kushurutishwa huyo achana nae .ni kweli unaumia sana.jiweke kando japo utaumia sana ila itakua ni kwa kipindi tu.baadae utamuona Wa kawaida sana .utampata nyonga mkalia ini wako atakaethamini penzi lako.wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.