Recent content by Msumbwa Hai

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kupotea sokoni kwa vinywaji vya MO mll 400 nini shida?

    Binafisi huwa naogopa kuongelea mambo ambayo sina uhakika nayo. Mi naona TFDA ndo wanaweza kutolea ufafanuzi juu ya suala hili.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kuhamia Chadema Nivigumu sana

    Bora mimi, sio wewe unayepotosha.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kuhamia Chadema Nivigumu sana

    Hakuna hoja hapa.
  4. M

    JamiiForums Tanzania UVCCM msitumie katiba ya CCM kubatilisha uhalali wa Salim Mwalim, tutumie katiba ya Jamhuri 1977

    Ni kweli kwa mfumo huu ni vigumu kushinda ila vijana sasa hivi tutakuwa na kazi kubwa maana tunashidwa kuelewana wakati hatuonani, ni ishara kuwa tukisimaama jukwaa moja ngumi ni za kukugusa. Kwa upande mwingine serikali ndo imesababisha zama siasa ilifundishwa hata shule ya msingi lakini leo...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge Joseph Mbilinyi 'Sugu' afikishwa mahakamani, anyimwa dhamana mara ya tatu

    Hawajachoka hata wao wako mahabusi kisaikolojia.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Aibu kwa kijana uliepewa mkopo 100% na Serikali kuishambulia na kuizushia

    Kwa sasa baada ya serikali kuminya ajira naona kila mtu amekuwa mwana ccm, mbaya zaidi hata vyuo kwa sasa ni kama sekondari, msomi mzima lakini hata kuhoji hawezi.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Simba sc wapoteana Zanzibar ,hali tete imejitokeza kwenye benchi la ufundi ,viongozi watoka jukwaani na kuingilia kati

    Viongozi wajiandaa kula pesa ya usajili wa kocha. Hahahaha....
  8. M

    JamiiForums Tanzania Onyo kwa mfumo wa kocha Masud Djuma wa Simba"

    Tatizo la kocha hajui washabiki wanataka matokeo hata kma atakuja na mfumo wa beki mmoja, mechi ya 1 ndo imemgharimu.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Lipuli yamtoa kwasi kwa million 25

    Sasa Kwasi atacheza peke yake?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mo Dewji amshauri Kocha Omog aachie ngazi, Simba yavunja naye Mkataba

    Kocha mmemwonea maana hatuna wachezaji wa viongozi. Hiyo timu hata wakipewa wahitu wa darasa LA 7 inaweza kufanya vizuri.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia(CUF) ajivua uanachama na ubunge na kuhamia CCM

    Katika nchi maskini demokrasia ni ngumu sana.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Fursa za kiuchumi Katoro Geita

    Biashara ya madini sina uzoefu nayo, unajua mji wa Katoro ni wa wafanyabiashara, wakulima, wafugaji na ndo mji unaopendwa na wakazi wengi waozunguka maeneo hayo. Hivyo kama unataka kufanya biashara, 1. Mazao 2. Vifaa vya ujenzi, 3. Vifaa vya umeme maana umeme una mda mfupi umefika. La mwisho...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Fursa za kiuchumi Katoro Geita

    Mi nimekaa hapo kwa 4 yrs, ni sehemu nzuri.
Back
Top Bottom