Kuhamia Chadema Nivigumu sana

Kuhamia Chadema Nivigumu sana

Makusudically

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
2,215
Reaction score
1,240
Watu wengi sana wamegundua kuwa kuhamia au hata kujaribu kujiunga na Chadema ni vigumu sana, kwani ni sawa na mtu kujaribu kubadili "group" la damu, mfano; group A kwenda B, au AB kwenda O, ni vigumu kweli kweli kubadiri makundi ya damu. Hivyo kujiunga na Chadema ni sawa na kujaribu kubadili kundi la damu.
 
Watu wengi sana wamegundua kuwa kuhamia au hata kujaribu kujiunga na Chadema ni vigumu sana, kwani ni sawa na mtu kujaribu kubadili "group" la damu, mfano; group A kwenda B, au AB kwenda O, ni vigumu kweli kweli kubadiri makundi ya damu. Hivyo kujiunga na Chadema ni sawa na kujaribu kubadili kundi la damu.
Lakini ni kwa wale wanaowaogopa binadamu wenzao. Pengine mwengine utakuta ni mwanaume kabisa lkn humuogopa mwanaume mwenzake kiasi cha kushindwa kusimamia anachokiamini.
 
Watu wengi sana wamegundua kuwa kuhamia au hata kujaribu kujiunga na Chadema ni vigumu sana, kwani ni sawa na mtu kujaribu kubadili "group" la damu, mfano; group A kwenda B, au AB kwenda O, ni vigumu kweli kweli kubadiri makundi ya damu. Hivyo kujiunga na Chadema ni sawa na kujaribu kubadili kundi la damu.
Mbona mie nimeweza kubadili hilo group la damu. Nimejiunga CHADEMA rasmi nikitokea CCM
 
Watu wengi sana wamegundua kuwa kuhamia au hata kujaribu kujiunga na Chadema ni vigumu sana, kwani ni sawa na mtu kujaribu kubadili "group" la damu, mfano; group A kwenda B, au AB kwenda O, ni vigumu kweli kweli kubadiri makundi ya damu. Hivyo kujiunga na Chadema ni sawa na kujaribu kubadili kundi la damu.
Hakuna hoja hapa.
 
Kwa kuwa hawatoi hela ila ccm ni rahisi kwani wanatoa kodi za masikini Wa kutupwa
 
Uwanja wa Ali mapilau umethibitisha hilo..ufipa ndembe ndembee
 
Watu wengi sana wamegundua kuwa kuhamia au hata kujaribu kujiunga na Chadema ni vigumu sana, kwani ni sawa na mtu kujaribu kubadili "group" la damu, mfano; group A kwenda B, au AB kwenda O, ni vigumu kweli kweli kubadiri makundi ya damu. Hivyo kujiunga na Chadema ni sawa na kujaribu kubadili kundi la damu.
Ulifanya utafiti? Lini, wapi, wangapi? Waonaje ukitupatia nakala yake ili tuthibitishe uhalali wa madai yako?
 
Watu wengi sana wamegundua kuwa kuhamia au hata kujaribu kujiunga na Chadema ni vigumu sana, kwani ni sawa na mtu kujaribu kubadili "group" la damu, mfano; group A kwenda B, au AB kwenda O, ni vigumu kweli kweli kubadiri makundi ya damu. Hivyo kujiunga na Chadema ni sawa na kujaribu kubadili kundi la damu.
Kwa wenye mawazo - kama wewe maana unaongozwa na tumbo
 
Watu wengi sana wamegundua kuwa kuhamia au hata kujaribu kujiunga na Chadema ni vigumu sana, kwani ni sawa na mtu kujaribu kubadili "group" la damu, mfano; group A kwenda B, au AB kwenda O, ni vigumu kweli kweli kubadiri makundi ya damu. Hivyo kujiunga na Chadema ni sawa na kujaribu kubadili kundi la damu.
Hivi unajua kwanini mikutano ya siasa na Bunge live vimepigwa marufuku?
Binadamu ni kiumbe dhaifu na ameumbwa kusahau ..ndio maana vitu hivyo vimepigwa marufuku.Ili watu waendelee kujiunga Chadema na hata vyama vingine lzm Siasa iruhusiwe ili elimu ya uraia iendelee kua kama ibada.

Ndio maana toka karne nyingi zilizopita waumini wanahama kutoka dini moja kwenda nyingine kwa kua mahubiri yanatolewa kila leo bila vikwazo.

NI AJABU sana kwamba dini moja izuiwe kufanya mahubiri halafu wewe ushangae eti kwanini watu wanahama dini A kwenda B tu na sio kinyume chake.

Na ndio maana pale juu nikasema Chadema inapambana ikue kwenye eneo gumu.
 
Ni swala la muda au wakati! Chadema ni chama ambacho kinakua katika ardhi iliyojaa mianzi mingi ambayo haitaki mimea mingine iote eneo hilo..Kwa hiyo si kazi rahisi lkn itastawi kwa wakati wake.
Kilichanua kikajipulizia dawa ya kuua magugu chenyewe..sasa kimeanza kunyauka
 
Kilichanua kikajipulizia dawa ya kuua magugu chenyewe..sasa kimeanza kunyauka
Hizo ndizo stages za kukua!
Hata CCM kimepita hatua kama hizo,good luck ni kwamba kilikua peke yake na serikali yake tu.
Lkn kimeanguka mara nyingi sana na kuinuka.
Hata wewe kabla hujaanza kukimbia na kutembea ulipitia mikwaruzo na maanguko kadhaa.
 
Watu wengi sana wamegundua kuwa kuhamia au hata kujaribu kujiunga na Chadema ni vigumu sana, kwani ni sawa na mtu kujaribu kubadili "group" la damu, mfano; group A kwenda B, au AB kwenda O, ni vigumu kweli kweli kubadiri makundi ya damu. Hivyo kujiunga na Chadema ni sawa na kujaribu kubadili kundi la damu.
Nikweli mkuu kama hujiamini huwezi kuhamia cdm maana hawana uwezo wakukuteuwa au kukupa cheo vilevile kama unamakandokando huwezi hamia maana uhamiaji na tra watakuja kukukaguwa mpaka uchanganyikiwe ndio maana unasema kuhamia cdm nisawa na kubadirisha damu naungana na ww mkuu
 
Back
Top Bottom