Recent content by mstai

  1. M

    Toyota Brevis Itabaki na Wanaume tu

    Asa unataka ile makande
  2. M

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    http://www.sjsu.edu/people/cynthia.rostankowski/courses/HUM119BS14/s0/Aquinass-five-ways.pdf
  3. M

    Dunia ya tatu siasa za dunia ya kwanza

    Siasa za Africa bado hatujajua tuziendeshe vipi. Tunataka kuendesha siasa za Africa kama za dunia ya kwanza ili hali sisi tuko dunia ya tatu.hili nikosa kubwa sana ambalo viongozi wetu wa siasa wanatumia kutuumiza hasa vijana. Inauma sana kuona vijana tunakua ni wahanga wa siasa za kiafrika
  4. M

    Dunia ya tatu siasa za dunia ya kwanza

    Siasa za Africa bado hatujajua tuziendeshe vipi. Tunataka kuendesha siasa za Africa kama za dunia ya kwanza ili hali sisi tuko dunia ya tatu.hili nikosa kubwa sana ambalo viongozi wetu wa siasa wanatumia kutuumiza hasa vijana. Inauma sana kuona vijana tunakua ni wahanga wa siasa za kiafrika
  5. M

    Rais Kusitisha Uzazi wa Mpango Kwa"Fyatueni Watoto wa Kutosha",Ni Yake au ni ya Wale Wazee wa..?!.

    Kwa mtazmo wangu naona raisi alikuwa anongea na watani wake .kwa kauli hiyo itakua anawatania watani wake wa dar
  6. M

    Kiburi cha Kinyonga

    Duh sijaelewa hata kidogo
  7. M

    Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

    Ni mungu gani unaemzungumzia
  8. M

    Jacqueline Wolper arudi CCM

    Ila ukirudi kundini unakatwa mkia
Back
Top Bottom