Cc 2500 ndio za kukimbia? Watu wapo mjini wana CC 6000Watu wanazikimbia toyota brevis kuwa zinakula mafuta na spare ni ghali sana, kumbe ukiona mtu anendesha brevis ujue huyo ni mwanaume haswaaa.
Umekosa wa kumuuzia hadi kwa m 2 ndio umekuja kujisifu ujinga,hilo lishakua lako ufanane nalo suraMbona wengine wanashindwa kuelewa, issue ni brevis kula mafuta na spare ghali, siyo kufanananisha brevis na gari nyingine au cc, je mbona wengi wanalalamika brevis ni ghali kuitumia,
wewe watu wamehamia crown ambako ni ghali kuliko hilo li BREVIS lako!Watu wanazikimbia toyota brevis kuwa zinakula mafuta na spare ni ghali sana, kumbe ukiona mtu anendesha brevis ujue huyo ni mwanaume haswaaa.
Ni wanaume, tuwape tu heshima bhana..Je wenye v8 ni mafala?
Probably kahongwa
Naona mnachuki na mnyama sio..wewe watu wamehamia crown ambako ni ghali kuliko hilo li BREVIS lako!
Mkuu usiwajibu wanaokubeza wote wana vi starlet, vitz, spacio, ist. Unakuta dume limevimba na midevu kibao linatoka kwenye vitz.Watu wanazikimbia toyota brevis kuwa zinakula mafuta na spare ni ghali sana, kumbe ukiona mtu anendesha brevis ujue huyo ni mwanaume haswaaa.
Sie wenye baiskeli tuna comment wapi?Mkuu usiwajibu wanaokubeza wote wana vi starlet, vitz, spacio, ist. Unakuta dume limevimba na midevu kibao linatoka kwenye vitz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo unawaruhusu, poa mahitaji na mapenzi yao. Wala si kwasababu ya kitaka kuonekana wanaume.Je wenye v8 ni mafala?
Ni kweli kabisa MkuuTatizo la Brevis ni kutumia 1JZ engine ya kizamani ndo maana mafuta yanaenda kizembe mara mia engine ya 4GR
cc2990 ni ghali kuihudumia mafuta!?.. Brevis haili mafuta wala nini, umasikini wenu tu kupenda vitu vikubwa msivyoweza!!..Mbona wengine wanashindwa kuelewa, issue ni brevis kula mafuta na spare ghali, siyo kufanananisha brevis na gari nyingine au cc, je mbona wengi wanalalamika brevis ni ghali kuitumia,
Kweli kabisa yaani hasa Ist ndiyo zimejaa kila kona. Hivi ndani ya Ist huwa mnakaajeMkuu usiwajibu wanaokubeza wote wana vi starlet, vitz, spacio, ist. Unakuta dume limevimba na midevu kibao linatoka kwenye vitz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah huu msemo niliuona kwa mugabe quotes nikacheka sana
Mbona ziko nyingi sana zinamilikiwa na wanawakeWatu wanazikimbia toyota brevis kuwa zinakula mafuta na spare ni ghali sana, kumbe ukiona mtu anendesha brevis ujue huyo ni mwanaume haswaaa.