Jambo ambalo wengi hatulifahamu ni kuwa wanawake wanaigiza kila kitu kwenye mapenzi ndio maana hata mkiachana utaona anajifanya yuko free na anafurahia maisha hayo mapya lakini deep down wanaumia sana
Sas kama mwanaume hutakiwi kushindana nao ni kuishi nao kwa akili tuu.
Shida wanaume wakisha oa Wana treat mwanamke kama baba na mtoto hakuna tena Yale mapenz ya zamani hata utani pia hakuna show innakuwa mbovu kutokana na majukumu mengi so mwishowe wanawake wanaanza kucheat
Ila dad jikaze hiyo n ndoa angalia usipoteze Dira yako na watoto wako jitahid kurudisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.