Nisaidieni laptop yangu dell nashida! Haiwaki kabisa! Ilianza hivi, Hii laptop betri ilikufa kitambo nkawa naitumia direct kwenye umeme bado ikafanya kazi kwa miez kadhaa baada ya hapo ikashndwa kufnya kazi nkawa mpka nachomoa betri naunga kwenye umeme napgia kaz hvovho kwa miez kadhaa nako...
Nisaidieni laptop yangu dell nashida! Haiwaki kabisa! Ilianza hivi, Hii laptop betri ilikufa kitambo nkawa naitumia direct kwenye umeme bado ikafanya kazi kwa miez kadhaa baada ya hapo ikashndwa kufnya kazi nkawa mpka nachomoa betri naunga kwenye umeme napgia kaz hvovho kwa miez kadhaa nako...
Naomba kusaidiwa mwenye kujua namna ya kupata internet kupitia decoder (king'amuzi) chochote kile iwe dstv/azam anisaidie maana nipo maeneo remote sana hata mtandao wa 2g ni shida yaan ni sms, kupiga na kupokea simu tu! Naona decoder ya DSTV HD Kuna port ya ethernet lakin ipo dormant...
Labda yeye kufuta picha alizokuw kapost n kutokujiamin ama ana sababu kwa nn kafuta! Lakin uelekeo wa cannula hauna mashiko kikubwa tu ni aina gani ya dawa alikuwa kaandikiwa na iingie kwenye mshipa upi! Hizo pocha zingine ni uelekeo wa veins ambao dawa na drip nyingi huingia na huo uelekeo wa...
Kuna baadhi ya dawa huwa zinakuwa injected kwenye artery so huo uelekeo wa cannula ni uelekeo wa arteries! Hii msimhukum moja kwa moja kuwa uelekeo wa cannula umeenda upande tofauti!
VodaCom mmejisahau sana! Mtandao hata wa kutuma sms kwa baadhi ya maeneo ni hamna kabisa! Maeneo ya manyara barabara kutoka katesh kwenda kondoa(dodoma) ni hakuna kabisa mtandao lifanyieni kazi basi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.