Recent content by msinidanganye

  1. msinidanganye

    Wanawake wananipenda kwa sababu sijatahiriwa

    uchafu tu uliojaa hapo hao wanao kung'ang'ania nao ni wachafu km ww
  2. msinidanganye

    Kidume nimetokwa na machozi mbele ya wife

    kwa iyo ulikuwa unaigiza cmanzi kumbe unashangilia kuondoka kwake jiangalie tu furaha yk isije kuwa huzuni
  3. msinidanganye

    Ni kweli Changudoa wengi Dar wanatoka Moshi na Arusha.

    sio kweli uchangudoa ni asili ya mtu haitokani na kabila wala mkoa fulani wala umasikini wa familia ni asili ya mtu, wa hindi kibao wamejaa huko mahotelini wanajiuza hao nao wanatoka moshi warabu kibao hao nao wanatoka mosh , huyo rafiki yako naona anakisasi na watu wa mikoa hiyo,
  4. msinidanganye

    Jifunze Makosa haya Katika Mapenzi toka kwangu

    yn utoke iring mpaka dar kw ajili ya elfu 50 watu wana hnga magari na wanaa cha itakuwa wewe na hiyo hamsini yko ,, cha kufanya ni kujifunza kutokana na makosa na sio ufunge safari kuja kumsaka huku ..
  5. msinidanganye

    Naomba ushauri wenu wan jf

    asnte kaka na shukuru kwa ushauri wako
  6. msinidanganye

    Naomba ushauri wenu wan jf

    uzito wangu ni na kilo 77 urefu 5.5
  7. msinidanganye

    Naomba ushauri wenu wan jf

    Jamni mm mwenzenu nina ngozi kavu sana yani unakuta na pauka san sehemu za mapajni ndo usiseme na kuwa na michubuko katikati ya mapaja ambayo hainifurahishi hata mm nikikutan na boyfrend wangu ananiambia eti ninafangasi ndomana nakuwa nimepauka ivyo naombeni ushauri je ni fangasi au nn na...
  8. msinidanganye

    ni busara kuhamia kwa mwanamke?

    sio busara kuhamia kwa mwanamke mm kama mwanamke na kushauri kama uyo mwanamke anakupenda ahamie kwako cz kam mtu anakupenda hawezi kujali sehemu unapoishi eti ni uswazi sidhani kam ukimpenda mtu kwa nzati utawza ivyo huyo anapenda uhamie kwake akupeleke peleke na ivyo kakuzidi elimu usikubali...
  9. msinidanganye

    The Worst Thing You've Ever Done For Love?

    du kwann ulikataa hujui kwamba atakuwa ameshajifunza kutokana na makosa na mngeishi tu vzur?
  10. msinidanganye

    Kukaa Uswahili Kuna Raha Zake..

    wanasema ukipenda boga penda na uwalake sasa iweje yeye apende kimoja apende vyote.
  11. msinidanganye

    Wadada adhabu nyingine ni mateso-Msaada plz

    hiyo safi sana wamezidii!!!
  12. msinidanganye

    Nimependana na mwanamke msomi

    kuwa mvumilivu mvumilivu hula mbivu
Back
Top Bottom