sio kweli uchangudoa ni asili ya mtu haitokani na kabila wala mkoa fulani wala umasikini wa familia ni asili ya mtu, wa hindi kibao wamejaa huko mahotelini wanajiuza hao nao wanatoka moshi warabu kibao hao nao wanatoka mosh , huyo rafiki yako naona anakisasi na watu wa mikoa hiyo,
yn utoke iring mpaka dar kw ajili ya elfu 50 watu wana hnga magari na wanaa cha itakuwa wewe na hiyo hamsini yko ,, cha kufanya ni kujifunza kutokana na makosa na sio ufunge safari kuja kumsaka huku ..
Jamni mm mwenzenu nina ngozi kavu sana yani unakuta na pauka san sehemu za mapajni ndo usiseme na kuwa na michubuko katikati ya mapaja ambayo hainifurahishi hata mm nikikutan na boyfrend wangu ananiambia eti ninafangasi ndomana nakuwa nimepauka ivyo naombeni ushauri je ni fangasi au nn na...
sio busara kuhamia kwa mwanamke mm kama mwanamke na kushauri kama uyo mwanamke anakupenda ahamie kwako cz kam mtu anakupenda hawezi kujali sehemu unapoishi eti ni uswazi sidhani kam ukimpenda mtu kwa nzati utawza ivyo huyo anapenda uhamie kwake akupeleke peleke na ivyo kakuzidi elimu usikubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.