Recent content by Msingiimara

  1. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Baada ya Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga kushikiliwa Uwanja wa Ndege Dar, Jaji Mkuu mwingine mstaafu David Maraga afanikiwa kupenya Kisutu

    Uko sahihi. Lissu amekuwa mpambanaji toka mwanzo. Nilichomaanisha kwa aarufu wa overnight ni: 1. Ingawa toka mwanzo alikuwa mpambanaji hakuwahi kupata attention hii anayopata sasa ( jaribu kukumbuka enzi za Kikwete)...na hakuwahi kupaishwa hivi siku zile. 2. No reform no election ilikuwa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Baada ya Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga kushikiliwa Uwanja wa Ndege Dar, Jaji Mkuu mwingine mstaafu David Maraga afanikiwa kupenya Kisutu

    Hawa watu sijui wanawaza nini. Wameamua kumpa Tundu Lissu umaarufu over night!!! Sasa kesi hii inafahamika nje ya mipaka yetu. Sasa Lissu anazidi kujulikana zaidi na no reforms no election inavuka mipaka ya taifa letu. Kilikuwa na sababu ya yote haya? Kilikuwa na sababu gani ya kumkamata na...
  3. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA chini ya Lissu wamefanikiwa kwa kishindo

    Kwa mara ya kwanza toka tupate uhuru tuna chama Cha upinzani kinachoanini katika upinzani. Haikuwa na maana na bado hakuna maana yoyote kushiriki katika uchaguzi ambao matokeo yake yanafahamika hata kabla ya uchaguzi. Unaikumbuka hii kauli: "Hata msipotupigia kura, sisi ndio tutaunda serikali"...
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

    Uko sahihi Lakini kwa kiasi Fulani TU. Kila taasisi (ya ndoa ikiwemo) Ina masharti yake. Mwanafunzi (shule) Ina masharti au taratibu zake, kabisa, msikiti, chama Cha siasa, familia, nk nk zote hizi Zina taratibu zake. Ndoa (muunganiko wa watu wawili) nayo Ina taratibu zake na kwa asili yake na...
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

    Kinachonishangaza kwa wanawake (Sina maana ya wewe) ni jinsi wanavyozitafuta na kuzitafuta ndoa Lakini wakato huohuo hawako tayari kuzingatia yale ya ndoa. Yaani ndoa Haina maana yoyote kwako Lakini wanakesha kwa manabii na mitume na novena kibao kutafuta ndoa hiyo hiyo ambayo hata km ikifa na...
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

    Halafu baada ya kutoka huko mahabusu unategemea Kuna ndoa hapo?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mbowe sawa lakini siyo man of the hour.

    Very well said
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Embu nipeni japo sifa chache za kabila la wajaluo hasa kwa upande wa wanaume?

    Hizi sifa zote zinazotolewa humu ni either uongo au ni za zamani sana
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwenye hili mke wangu nimejisikia vibaya sana kwa kweli

    Na ikitokea mnaachana utakuta naye anadai mgawane sawa vile mlivyonavyo
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamme mwenye akili hawezi kuzaa na mwanamke zaidi ya mmoja

    Haujui unalolisema. Usamehewe.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mamlaka za Tanzania haziko makini kupambana na Corona, inakuwaje mgonjwa anatua JNIA anakwenda Mwanza na hakuwekwa karantini?

    Na wale aliosafiri nao kutoka Dubai? Vipi na wale aliosafiri nso toka dar kwenda mwanza?
  12. M

    JamiiForums Tanzania When will Tanzania allow people to earn online?

    Hii skrill mbona kwangu inagoma kunilete option ya wallet? Msaada tafadhali
  13. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Kigwangalla: Walishindwa kuniua wakati ule! Naingia vitani kwa silaha zote na vita ni asili yangu

    Wewe haujawahi kudhuriwa na watu bila sababu yoyote ya maana? Kama bado, nakupa hongera. Katika maisha kuna watu ambao raha yao ni kuona wenzao wanaumia hata kama hawajakosewa kwa lolote. Ukiwa mfanyakazi hodari ni shida. Ukijituma ili kuboresha maisha yako wao wanakosoa usingizi na watafanya...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kuiongoza Tanzania ni rahisi sana. Zingatia mambo makuu matatu

    Ghadafi hakuuwawa na wananchi wa Libya bali na waasi kutoka bengazi waliochochewa na nchi za magaribi ambao nao walikuwa na maslai ya mafuta ya Libya (among other reasons).
Back
Top Bottom