Tajiri Mapesa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 707
- 695
Habarini wakuu leo nimekuja na hii nadharia ndogo,
Katika utafiti wangu nilio ufanya hivi karibuni nimegundua kuwa mwanamme mwenye akili hawezi kuzaa na mwanamke zaidi ya mmoja.
Hivyo nimegundua kwamba ukiona mwanamme amezaa na mwanamke zaidi ya mmoja ujue ana upungufu wa akili pengine yawezekana haelewi hata elimu ya uzazi wa mpango ni nini au kama anaelewa pengine amekalili tu definition.
Unajua watu wengi hudhani kwamba uzazi wa mpango ni kutumia mipira wakati wa kugegedana au kutumia vidonge vya kuzuia mimba. Sio hivyo kama kuna mwanamme amezaa na mwanamke zaidi ya mmoja huyo ni limbukeni hafuati uzazi wa mpango wala hauelewi.
Katika utafiti wangu nilio ufanya hivi karibuni nimegundua kuwa mwanamme mwenye akili hawezi kuzaa na mwanamke zaidi ya mmoja.
Hivyo nimegundua kwamba ukiona mwanamme amezaa na mwanamke zaidi ya mmoja ujue ana upungufu wa akili pengine yawezekana haelewi hata elimu ya uzazi wa mpango ni nini au kama anaelewa pengine amekalili tu definition.
Unajua watu wengi hudhani kwamba uzazi wa mpango ni kutumia mipira wakati wa kugegedana au kutumia vidonge vya kuzuia mimba. Sio hivyo kama kuna mwanamme amezaa na mwanamke zaidi ya mmoja huyo ni limbukeni hafuati uzazi wa mpango wala hauelewi.