Recent content by MSIMISEKI SENIOR

  1. MSIMISEKI SENIOR

    Vyama vya wafanyakazi fanyeni jitihada za kuwatetea wafanyakazi?

    Salaam TUCTA ukiwa mwavuli wa vyama vya wafanyakazi TALGWU, TUGHE, CWT, RAAWU, TUICO, nk Salaam hizi nazituma kwenu nikiwa sehemu ya jamii ambayo kupitia makato ya 2% ya kila mwezi mnazichukua pasipo kutimiza wajibu wenu Naomba kufahamu fedha mnazowakata wafanyakazi kila mwezi mnazitumia...
  2. MSIMISEKI SENIOR

    Hospitali ya AGHAKAN MBEYA: Uongozi kuweni makini

    Wanakera sana kwakweli ukizingatia hii ni private institution tunatarajia kupata huduma bora zaidi
  3. MSIMISEKI SENIOR

    Hospitali ya AGHAKAN MBEYA: Uongozi kuweni makini

    Napenda kutoa masikitiko yangu kwa uongozi wa Hospitali ya Aghakan Mbeya iliyopo mkabala na POSTA. Kwa siku za hivi karibuni usimamizi umepungua kiasi cha kuathiri utoaji huduma katika kituo hicho cha Afya. Mara kadhaa nimefika hapo nikipeleka wagonjwa lakini naona siku zinavyosonga ndivyo...
  4. MSIMISEKI SENIOR

    Naomba Serikali iweke usimamizi wa karibu kwa watu wanaoanzisha biashara ya kuchanganya chakula cha Mifugo

    Mimi ni mfugaji wa kuku, nguruwe na ng'ombe Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na utitiri wa maduka ya kutengeneza vyakula vya Mifugo ambayo havina ubora. Bahati mbaya watengenezaji hao hawana utaalam wowote juu ya mahitaji halisi ya wanyama hasa kuku. Mara kadhaa nimenunua vyakula...
  5. MSIMISEKI SENIOR

    Makonda asafishwa, tuache kupambana na Makonda sasa tupambane na serikali!!

    Inaelekea na wewe ni mmojawapo kati ya wauza unga
  6. MSIMISEKI SENIOR

    Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Capt.Mstaafu Chiku Galawa, kuokoa Milioni 250 Kila Mwaka Kwa Kutumia IPAD!.

    Nafikiri kuna vitu huvielewi. Hapo mtoa mada kaongelea mfano madiwani. Mkoa unakuta unazo halmashauri 6 kila halmashauri unalo baraza la madiwani. Unapoongelea stationery expenditure usiongelee karatasi tu ndugu yangu hapo kuna Cartirage (wino), kuna kuna repair/maintenance za photocopy...
  7. MSIMISEKI SENIOR

    Hivi haiwezekani kujengwa barabara ya kuunganisha Mbeya,Tabora na Mikoa ya kanda ya Ziwa???

    Mh Waziri na serikali awamu ya Tano plz hii barabara itazameni kwa jicho la tatu
  8. MSIMISEKI SENIOR

    MwanaHALISI: Msaidizi wa Mbowe kuibuka... Ni Ben Saanane

    Mkuu mimi nilikuwa najiuliza tu maana sinema inaonekana imefikia patamu
  9. MSIMISEKI SENIOR

    MwanaHALISI: Msaidizi wa Mbowe kuibuka... Ni Ben Saanane

    Pia tujiulize nani amefuta posts za Ben kkue facebook? Je kuna mtu Ben alimuamini sana akampa password yake? Haya maigizo mbona ni zaidi ya sinema za Bollywood
  10. MSIMISEKI SENIOR

    MwanaHALISI: Msaidizi wa Mbowe kuibuka... Ni Ben Saanane

    Hatari sana siasa za bongo
  11. MSIMISEKI SENIOR

    MwanaHALISI: Msaidizi wa Mbowe kuibuka... Ni Ben Saanane

    Ni kweli CDM wanafahamu alipo Ben? Updates Sitaki kuamini kwanini MwanaHalisi iamini kile wanachokiita ANDISHI WALILOLIKUTA MLANGONI Kitendo cha kuipa hilo Andishi ukurasa wa mbele yawezekana kuna kitu kinafichwa Je, wana uhakika gani aliyeleta hilo andishi mlangoni kwamba siyo wabaya wa...
Back
Top Bottom