Vyama vya wafanyakazi fanyeni jitihada za kuwatetea wafanyakazi?

Write your reply...Bunge linanikatisha tamaa.Tuweke kanuni spika wa bunge atoke upinzani.
 
Kwa niaba ya Wafanyakazi wote Tanzania, nachukua fursa hii kumpongeza sana Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuona na kusikia kilio cha Wafanyakazi.

Niwaombe sasa Viongozi wa Vyana vya Wafanyakazi kutumia hii Momentum aliyoianzisha spika tuone matamko na kauli za kumuunga mkono spika.

Ukiisoma sheria ya kuunganisha mifuko, kama unazo akili ndogo za kutosha kutambua nyeupe na nyeusi basi hutapeleja lawama kwa wabunge pekee (ingawa bado wanalaumiwa kidogo) kwani utaona kila eneo lililotaja fao fulani, sheria inaeleza kuwa kanuni (kikokotoo) kitakuwepo kwenye kanuni zitakazotungwa na Waziri mwenye dhamana.

Pamoja na ukweli huo, niwaombe Viongozi wa vyama vya Wafanyakazi kuanzia Jumatatu muanze kutoa kauli za kumuunga mkono Spika na kueleza nini hasa hitaji la Wafanyakazi lakini pia mukiangalia mustakabali wa mifuko yenyewe ili isitokee wafanyakazi wakataka kulipwa kiasi kikubwa cha mafao huko mifuko ikishindwa hata kujiendesha na kudumu kwa vizazi vingine.

Ushauri wangu wa upande wa Serikali ni huu: Serikali yangu sikivu, huu ni muda muafaka wa Serikali (wataalamu) kukaa na wawakilishi na viongozi wa vyama vya wafanyakazi hasa vyama vya watumishi wale ambao hasa wameguswa na hizi kanuni ba kuweza kufanya actural valuation ya mifuko kwa pamoja na kuhakikisha wafanyakazi kupitia wawakilishi wao wanaelewa thamani hasa ya mali za mifuko na uwezo wa mifuko katika kujiendesha na kulipa mafao wastaafu waliopo na wanaokendelea kustaafu.

Hivi sasa Serikali hamueleweki kutokana na ukweli kwamba, haya mambo mumeyafanya sirini kana kwamba Wafanyakazi hawataelewa na wakielewa hawatapinga!!! That was very wrong!!! Kutana na wafanyakazi na ujadiliane nao na uhakikishe wameelewa na wanakuwa sehemu ya maamuzi mtakayofikia.

Namalizia kwa kumpongeza tena Mhe spika kwa maneno yake ya busara juu ya sakata hili na niwaombe tena viongozi wa vyama, mpeni Spika na wabunge ushirikiano na pia Jumatatu kila mmoja kwa staili yake toeni kauli za kumpongeza spika na wabunge na muwaombe wabunge hasa wa Chama Tawala walichukulie uzito suala hili kwani limegusa ndani sana katika mtima wa Mfanyakazi.

Nawasilisha
Hivyo vyama vyote kwasasa ni Branch ya CCM havina say na viongozi wake wengi was juu ni pandikizi! Watumishi tumebaki yatima
 
Salaam TUCTA ukiwa mwavuli wa vyama vya wafanyakazi TALGWU, TUGHE, CWT, RAAWU, TUICO, nk

Salaam hizi nazituma kwenu nikiwa sehemu ya jamii ambayo kupitia makato ya 2% ya kila mwezi mnazichukua pasipo kutimiza wajibu wenu

Naomba kufahamu fedha mnazowakata wafanyakazi kila mwezi mnazitumia kufanyia shughuli ghani?

Je mlishirikishwa wakati wa kutunga sheria na kanuni mpya za mafao? endapo hamkushirikishwa kwanini mmekaa kimya katika hii sintofahamu na mkanganyiko wa kanuni mpya zenye lengo la unyonyaji kwa mfanyakazi maskini wa nchi hii??

Endapo mlishirikishwa tungependa kujua mlitoa mchango gani kwenye vikao? au mnaridhika na hali ilivyo sasa?

Mnaposema kwa mtumishi anayepokea 1,000,000 kwa mwezi aliyefanya kazi miaka 35 kwa kikokotoo cha zamani mkupuo anapokea 71,612,411 na mafao ya kila mwezi ni 371,847 halafu kwa kujisifu mnasema kikokotoo kipya mkupuo anapokea 35,806,205 na mafao ya mwezi ni 557,771 eti kuna ongezeko lakiasi cha 185,924 mnatumia vigezo gani?

Mbona hamtolei mfano mtumishi mwenye kima cha chini anapokea kiasi gani? Je endapo huyo mtumishi atafariki miaka 3 baada ya kistaafu na wategemezi wake kulipwa hiyo miaka 2 hicho kiasi kinachobaki mnakipeleka wapi?

Je mnadhani bado tunahitaji kuwa na vyama vya wafanyakazi ambavyo vipo kwa maslahi ya waajiri badala ya wafanyakazi wenyewe?

JITAFAKARINI SANA NA CHUKUENI HATUA KABLA HII FAMILIA YA WANUONGE HAIJAAMUA KUCHUKUA HATUA
 
Kwa kweli hii sheria ni maumivu makubwa saaana, ndoto za wastaafu zinakufa..!!!
 
Serikali iliwabip wakulima wa korosho huko Mtwara na Lindi wao wakapiga, serikali ikainama...wakanunua korosho!

Lakini wafanyakazi wa Tanzania, wakiongozwa na TUCTA yao iliyojaa rushwa, ufisadi, ubadhirifu na kila aina ya Uchafu wapo tu wanaendelea kuichangia Tucta iliyooza na iliyo remote-controlled na TISS...wanaona dhulma wanayofanyiwa na serikali kupitia sheria mpya ya mafao lkn wapo tu hawawezi kuchukua hatua, hawawezi kujitetea...

Kweli aliyeiua elimu ya nchi hii ili aendelee kututawala kafanikiwa sana...huyo ndo ametufanya hata sasa tuone ni kawaida kuwa na msomi wa level ya PhD asiyemudu kuwasiliana kwa lugha ya Kiingereza...

Wafanyakazi wa Tanzania ni wasomi, lkn hawawezi kusema, hawawezi ku-challenge, hawawezi kuuliza, hawawezi kuhoji...

Go to hell wafanyakazi wa Tanzania along with your corrupt TUCTA...na mlivo manyumbu mlikubali kuchaguliwa uongozi na TISS na CCM, mtakoma! Rais wenu Dr.Msigwa yeye hana shida na hivyo vijisenti vya pensheni, because he is sucha a corrupt and fat fraud!
 
Serikali iliwabip wakulima wa korosho huko Mtwara na Lindi wao wakapiga, serikali ikainama...wakanunua korosho!

Lakini wafanyakazi wa Tanzania, wakiongozwa na TUCTA yao iliyojaa rushwa, ufisadi, ubadhirifu na kila aina ya Uchafu wapo tu wanaendelea kuichangia Tucta iliyooza na iliyo remote-controlled na TISS...wanaona dhulma wanayofanyiwa na serikali kupitia sheria mpya ya mafao lkn wapo tu hawawezi kuchukua hatua, hawawezi kujitetea...

Kweli aliyeiua elimu ya nchi hii ili aendelee kututawala kafanikiwa sana...huyo ndo ametufanya hata sasa tuone ni kawaida kuwa na msomi wa level ya PhD asiyemudu kuwasiliana kwa lugha ya Kiingereza...

Wafanyakazi wa Tanzania ni wasomi, lkn hawawezi kusema, hawawezi ku-challenge, hawawezi kuuliza, hawawezi kuhoji...

Go to hell wafanyakazi wa Tanzania along with your corrupt TUCTA...na mlivo manyumbu mlikubali kuchaguliwa uongozi na TISS na CCM, mtakoma! Rais wenu Dr.Msigwa yeye hana shida na hivyo vijisenti vya pensheni, because he is sucha a corrupt and fat fraud!
TUCTA ni chombo cha serikali kinacho kusanya 2% kwenye mishahara za wafanya kazi kila mwezi ila ni toothless dog kinapofika kujadili maslahi ya wafanya kazi
 
Miongoni mwa wananchi wa Tanzania, wafanyakazi hawapaswi kuonewa huruma ya aina yoyote!!

Wasomi gani mbumbumbu kiasi hiki?!?!
 
Kuna mtu kapandikiza hofu kila pahala, ila mwisho wake mbaya sana.
 
bila kuuma uma maneno naomba siku spika job ndugai akienda tena india arudi akiwa amenyauka kwenye sanduku kwa dhuluma ya bunge analolisimamia, na laana hii iipate familia yake yote ambao leo hii wanatudhihaki wafanyakazi
 
.....je ni hilo tu,ambalo spika anapaswa kupongezwa? Kama kuna zaidi ya hilo tuambie. Mtoa mada kuna sehemu pengine imekugusa, na ndio maana kwa kujifariji unashinikiza, vyama vya wafanyakazi visimame na 'kuibuka' kwa spika. Je, ni kwanini pia usihoji ni lini spika alikuwa bega kwa bega na vyama hivi,katika kudai maslahi ya watumishi wao kabla? Unakumbuka masakata gani yalipita kimyakimya ilihali spika asipaze sauti yake?....kama sakata hili limemfanya spika aonekane ana huruma bila shaka 'umekanyagwa' mkia, au una maslahi ya anayekuhusu juu ya jambo hili.
 
MTU unatoa wazo la kukandamiza wenzako ili Mkuu wako akusifie,ni kujipendekeza huko na mwisho wake huyo aliyeleta hiyo kanuni ataishia motoni
 
Nashukuu Mungu sana hao wote uliowataja hawachukui mchango wangu hata chembe maana wangeutapika sasa hivi,, otherwise naona ni brach za ccm tu hzo zote so usitegemee kauli yoyote kutoka kwao labda Mkuu aseme ndio utasikia wanatoa press release kulaani
 
Vyama vya wafanyakazi vimekuwa ni mzigo tu kwa wafanyakazi na havina msaada wowote zaidi ya kukusanya na kula michango ya hawa wanachama!
 
Kwa niaba ya Wafanyakazi wote Tanzania, nachukua fursa hii kumpongeza sana Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuona na kusikia kilio cha Wafanyakazi.

Niwaombe sasa Viongozi wa Vyana vya Wafanyakazi kutumia hii Momentum aliyoianzisha spika tuone matamko na kauli za kumuunga mkono spika.

Ukiisoma sheria ya kuunganisha mifuko, kama unazo akili ndogo za kutosha kutambua nyeupe na nyeusi basi hutapeleja lawama kwa wabunge pekee (ingawa bado wanalaumiwa kidogo) kwani utaona kila eneo lililotaja fao fulani, sheria inaeleza kuwa kanuni (kikokotoo) kitakuwepo kwenye kanuni zitakazotungwa na Waziri mwenye dhamana.

Pamoja na ukweli huo, niwaombe Viongozi wa vyama vya Wafanyakazi kuanzia Jumatatu muanze kutoa kauli za kumuunga mkono Spika na kueleza nini hasa hitaji la Wafanyakazi lakini pia mukiangalia mustakabali wa mifuko yenyewe ili isitokee wafanyakazi wakataka kulipwa kiasi kikubwa cha mafao huko mifuko ikishindwa hata kujiendesha na kudumu kwa vizazi vingine.

Ushauri wangu wa upande wa Serikali ni huu: Serikali yangu sikivu, huu ni muda muafaka wa Serikali (wataalamu) kukaa na wawakilishi na viongozi wa vyama vya wafanyakazi hasa vyama vya watumishi wale ambao hasa wameguswa na hizi kanuni ba kuweza kufanya actural valuation ya mifuko kwa pamoja na kuhakikisha wafanyakazi kupitia wawakilishi wao wanaelewa thamani hasa ya mali za mifuko na uwezo wa mifuko katika kujiendesha na kulipa mafao wastaafu waliopo na wanaokendelea kustaafu.

Hivi sasa Serikali hamueleweki kutokana na ukweli kwamba, haya mambo mumeyafanya sirini kana kwamba Wafanyakazi hawataelewa na wakielewa hawatapinga!!! That was very wrong!!! Kutana na wafanyakazi na ujadiliane nao na uhakikishe wameelewa na wanakuwa sehemu ya maamuzi mtakayofikia.

Namalizia kwa kumpongeza tena Mhe spika kwa maneno yake ya busara juu ya sakata hili na niwaombe tena viongozi wa vyama, mpeni Spika na wabunge ushirikiano na pia Jumatatu kila mmoja kwa staili yake toeni kauli za kumpongeza spika na wabunge na muwaombe wabunge hasa wa Chama Tawala walichukulie uzito suala hili kwani limegusa ndani sana katika mtima wa Mfanyakazi.

Nawasilisha
yaan wewe hivyo vyama ndo mabwege namba moja afu wabunge watunge sheria kuwe na fao la kujitoa me nikitaka fedha zangu nichukue
 
Back
Top Bottom