Nimeamua kuja hapa Las Vegas kwa ajili ya mapumziko ya wiki moja lakinaishi nayohitaji kuishi hapa naona kwa hela hii niliyonayo sitoboi wiki
Nilikuwa nimeandaa bajet ya dollar 1 million kwa ajili ya kufurahia mapumziko lakini hela hii inanitosha kwa siku tatu tu
Najiuliza nyie mnaolipwa viji...
Habari zenu,
Miaka 3 iliyo pita nilifanikiwa kuitwa baba nikiwa na umri wa miaka 22 ambapo nilipata mabinti zangu mapacha kutoka kwa Binti wa kijerumani Greta Friedrich
Mimi na Greta tulikutana mwaka 2021 mwishoni nchini Italy nilipo kuwa mapumzikoni na tulianza mahusiano mimi nikiwa na umri...
Leo katika mizinguko yangu nikajikuta nimefika huko uswahilini ukonga mombasa jilani na kikosi Cha kutuliza ghasia (ffu) basi nikapaki gari yangu land cruiser lc 300 zx
Basi nikashuka kwenye gari nikakatuna na mama muuza dagaa nikamsalimia na kuanza kuongea nae na kumuuliza biashara yake jinsi...
Ndugu zangu wa jamiiforum nimeona nisiwaache bila kuwapatia zawadi nzuri member wa jamiiforum na Leo nahitaji mwenye wazo zuri la biashara atoe hapa jukwaani atumbie nikimpa milioni 500 atafanya uwekezaji gani na kwa muda gani ataweza ku double mtaji.
Mshindi atakayekuja na wazo zuri...
Wiki hii nilikuwa najalibu kuendesha gari zenu aisee hizi gari ni mbovu na mbaya sijawahi kuona magari haya hakuna kitu
Toyota crown
Ist
Raum
Harrier
Rav 4
Honda Cr
Mazda CX-5
Toyota Fortuner
Kia
Hyundai Santa Fe
Toyota Prado
Nissan patrol
Gari hizi sio
Luxury
Old technology
Bad interior...
Kama kushika bilioni nimeanza kuwa na bilioni kwenye akaunti Toka nikiwa na umri wa miaka 18 na mwaka huu nikiwa na umri wa miaka 25 nimepata bilioni 5 na milioni 700 ambazo ni zangu binafsi katika mgao wa urithi na asa hivi nipo kwenye ujenzi wa kiwanda changu Cha aluminium na plastic
Muda si...
Assalam allaykum ndugu zangu Leodogo wenu Nina furaha baada ya kuanza kumiliki gari zangu mwenyewe nilizo kununulia kwa hela yangu.
Kuanzia sasa naendesha gari nimezonunua kwa pesa yangu mwenyewe na so gari za familia Tena japo nimebaki na gari tatu mbili zikiwa nilipewa na baba yangu kwenye...
Watanzania tafuteni hela mana hakuna kitu kizuri kama kuwa na hela.
Ndani ya wiki mbili nimefanikiwa kukutana na watu wazito sana kwenye biashara na uwekezaji
Abdulmajid Nsekela, CEO of CRDB Bank
Deogratius Marandu, CEO emirate aluminum
Shekhar Kanabar, CEO Synarge Group
Ernest masawe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.