Mwalimu wako wa Kiswahili while ya msingi Hakufanya kazi sawasawa. Mini maana ya neni Kudharirisha? halipo.. kuna neno kudhalilisha.. Halafu inaonekana wewe binafsi una matatizo.. Kawaone wahusika wa juu kama hukuridhika na maamuzi take sio kuandika upuuzi kama huu! Unatupotezea muda na thread...
Hatimaye Mheshimiwa Ndugai amechimbia kaburi la kisiasa baada ya kumshambulia Mgombea mwenzake aitwae Dr Joseph Elieza Chilongani kwa gongo katika mkutano wa kuomba kupigiwa kura za maoni CCM
Hayo yametokea leo mnamo saa saa 10 jioni katika kitongoji cha ugogoni mjini Kongwa.
Katika kile...
Kama mtoa mada hii anasema kweli, nadhani wangemrecord halafu ule ushahidu uwasilishwe PCCB ili kusupport hilo pingamizi haiwezekani mtu atoe fedha nyingi kiasi hicho halafu suala hilo lifumbiwe macho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.