Tunakokwenda,sherehe za harusi zitafanywa na wenye uwezo wa kifedha tu.
Kwangu mie,harusi sitofanya ila nitaenda kufunga ndoa tu kanisani tena ile ya saa 12:30 asbh,tukitoka hapo ni kuendelea na Kazi tu
Aisee TRA ni shida!
Nilinunua gari aina ya Toyota Rush Kwa CIF $5,000 hadi bandari nakujikuta nalipia ushuru wa Tsh.13,000,000.
Kwa hali hii,sishangai kwann mizigo inapungungua Kwa kiasi kikubwa bandarini
Ujinga ndo mtaji wa CCM.Na limezidi kuendelea kujidhihirisha hilo kupitia matokeo ya chaguzi mkuu.
Tunasafari ndefu sana kuikomboa hii nchi
Daa! Wish to be born in other country
Bwawani -Makumbusho kituo changu bado Mawakala wote hawapo.
Taarifa tulizopewa ni kuwa wamesusa hiyo kazi cjui maslahi ndo chanzo au la.
Wahusika mliopo JF jaribuni kuwasiliana haraka na wahusika wengine kunusuru hii hali kwani kuna wengine wenye mioyo myepesi walishaanza kuondoka bila kupiga kura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.