GuDume JF-Expert Member Jan 18, 2015 6,651 14,333 Jun 13, 2016 #1 isiwe imechoka sana. body na engine viwe haijaguswa. yaani engine haijawah funguliwa kabisa na body haijapigwa Rangi. Bei ni Tsh Mil 3.
isiwe imechoka sana. body na engine viwe haijaguswa. yaani engine haijawah funguliwa kabisa na body haijapigwa Rangi. Bei ni Tsh Mil 3.
saimon111 JF-Expert Member Apr 5, 2012 1,736 1,355 Jun 13, 2016 #2 Mkuu hizo lawama, bajaj ya mil 3 ujiandae kugombana na muuzaji
K keygun Senior Member Jun 11, 2016 114 54 Jun 14, 2016 #3 Mi nahitaji ya mil 2.5 jamani Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
M Mshika Bunduki Member Jan 14, 2015 79 18 Jun 14, 2016 #4 Kuna Bajaj aina ya Piaggio inauzwa Kwa bei chee sana ya m1.4.Inatembea ila inahitaji kurekebishwa kidogo kwani utunzaji haukuwa mzuri.
Kuna Bajaj aina ya Piaggio inauzwa Kwa bei chee sana ya m1.4.Inatembea ila inahitaji kurekebishwa kidogo kwani utunzaji haukuwa mzuri.